Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,105
- 165,329
Na haina sukariChai ya moto sana siyo?😂😂
Na haina sukariChai ya moto sana siyo?😂😂
Hili jibu la mwisho limenigusa sana....miaka 30 unarudi umesahau kabisa kuwa ulikuwa member wa JFSina namba zake mkuu. Nitachukuaje namba ya kunipeleka jela?
Aisee😅vitoto vya kike vimekua hasara sana kwa wazazi mbaya zaidi ni kwamba havina ambition ya vitu maana
Kweli jamaa aache uzembeSasa kumvalisha mtu pete napo unashindwaje,
Kijana acha ushamba
Acha kabisa kiongozi. Uhuru ni kitu cha pekee sana.Hili jibu la mwisho limenigusa sana....miaka 30 unarudi umesahau kabisa kuwa ulikuwa member wa JF
Usiombe ukutane na mtihani huo kijana. Ni hatari sana.Sasa kumvalisha mtu pete napo unashindwaje,
Kijana acha ushamba
63 mkuu, narudi nimeshakuwa babuUmri ulionao tukiongeza 30 jumla n ngapi mkuu
Babu yangu enzi za uhai wake aliwahi kuniambia uoga ni fimbo ya kutembelea.Kweli jamaa aache uzembe
Sio mbaya utarud unagawa urithi na kuandika wosia😂😂63 mkuu, narudi nimeshakuwa babu
Aisee mwanga wa jua ni mtamu sana. Haufananishwi na papuchi.Sio mbaya utarud unagawa urithi na kuandika wosia😂😂
Kama ni kweli basi inaonyesha ulishaongea naye na hata kufanya ngono.Dunia hii inaenda wapi?
Leo katika harakati zangu za kujitafuta nikaenda mahali fulani. Mara nikakutana na katoto kadogo kanasoma darasa la sita, kakaniambia " Uncle samahani, dada amesema nikupe hiki kikaratasi".
Ile kufungua nikapigwa na butwaa baada ya kukutana na maneno haya" Kaka X nakupenda sana naomba univalishe pete nzuri niridhike". Mamaaa nikaona jela hii hapa, kabinti kanasoma form 4 shule moja hivi hapa Dar.
Aisee nimemuangalia mdogo mtu nikasepa zangu, ile narudi kupitia njia ile ile, kakaja tena. Dada anaulizia jibu lake. Nikamjibu "kamwambie ayapende masomo yake".
Wazazi muwalinde watoto wenu.
Haipo hivyo. Hicho kitoto sina hata mazoea nacho lakini wazazi wake ndio nafahamiana nao.Kama ni kweli basi inaonyesha ulishaongea naye na hata kufanya ngono.
Acha kuwa tomasoEti anko Samahani dada amesema nikupe hiki kikaratasi .. Faken
Beberu mwitu wewe ni beberu broiler tu 🤣🤣🤣, Umetuonaje?
AnyWay NO REFORM NO ELECTION
Shida ukiwa jela na unawaza upumbavu uliokufanya uingie jela na kuharibu maisha yako yoteAcha kabisa kiongozi. Uhuru ni kitu cha pekee sana.