antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 50,877
- 132,922
Hawana utaratibu wa kuhakiki kabla ya kuonyeshwa?Sasa Dr. Mariposa, saa tatu usiku ya jana, hadi saa moja na dakika ishirini na nane asubuhi ya leo, kweli Mama Mdogo anaweza walau wizara, Baraza la Sanaa na TCRA kwamba hawajafanya lolote..!!?? Wangefanyia kazi muda gani..!!??
Hadi madhara yafanyike kwanza?!
