Ndahani,
Mimi nam support yule mwamba aliyesema wazungu warudi. Kwa kuanzia wanakatia umeme jeshi, Zanzibar , Ikulu nk
Unajua kwanini wana bail out? Serikali inachotoa unaweza kukuta kama 30% ya madeni wanayodaiwa na Tanesco. Maana unakuta serikali kuu kupitia wizara hazilipii umeme, Ikulu hailipii, Jeshi halilipi, Polisi hawalipi, Zanzibar ndio kabisa ukitaka kukata umeme watavunja muungano. Sasa serikali inachofanya hapa danganya toto hamna ku bail out ni kuipa uhai Tanesco angalau isife njaa wakati wao ndio wadaiwa sugu. Na wakitoa hizo fedha Tanesco inaona kama hisani kutok Treasury wakati wao wanaidai serikali pesa kibao. Muhimu Tanesco iwe ya mtu binafsi rudisha makaburu wacha wajilipe mshahara milioni 50 kwa mwezi lakini kazi ifanyike.
Kweli bongo Das'laam noma!