Kitilya asota rumande miaka 2

Shida adabu yako.

Kikwete ndiye Rais pekee aliyefunga mawaziri kwa ufisadi ndiye Rais pekee aliyemtosa waziri mkuu kwa ufisadi. Na ndiye Mwenyekiti aliyeacha roadmap (ilani) inayofatwa sasa hivi.

Koma.
My elder sister you are right. Lowassa alitoswa akabaki ameduwaa, Mkapa akabakia na Sumaye mpaka mwisho wa dahari.

Mkapa ndio alimpa kiburi Sumaye akajiona ni presidential material wakati kiuwezo na kiakili hafiki hata robo ya Lowassa.
 
Nilijua utatoka shimoni kwako tu uje umtetee mfadhili wako!! Mbona husemi ufisadi wa HOME SHOPPING CENTRE na jinsi alivyofadhili hawa jamaa kupitisha makontena bandarini bila kulipa kodi; jinsi alivyowalinda wauza madawa ya kulevya mpaka ameingia Magufuli ndio wakapelekwa Marekani; Unajua yeye ndiye aliyemlazimisha Mattaka kuingia mkataba wa kukodisha ile ndege ya AIRBUS kutoka kwa mlebanoni iliyolimbikiza deni la mabilioni kwa serikali!! Halafu unasema alikuwa anapiga vita ufisadi? Unajua gharama ya Barabara ya Bagamoyo mpaka Msata umegharimu kiasi gani na mjenzi akiwa swahiba wake Subash Patel?

Unajua kısa cha yeye kusabotage kukamilika kwa rasimu ya katiba ya Warioba? Aliogopa kama ile rasimu ingepitswa na katiba kukubaliwa yeye hivi leo yangempata yaliyompata Jacob Zuma kule South Afrika!!!

Sasa wewe ndio ukome ukomae.
Mkuu nimeisoma substance katika andiko lako. Mkwere alikuwa anafanya jambo jema lakini muda huo huo kunakuwepo mazingira ya upigaji yanayotengenezwa.

Ile dola milioni moja point tatu ambayo hawa waliotuuzia ndege wametulipa kama faini ya kuvuka tarehe ya mkataba, ingekuwa enzi za Mkwere au mzee wa Masasi ingepigwa juu kwa juu.

Mkwere alikuwa so relaxed, inawezekana kwa sababu ni mtu wa mizani (libra) alipenda kuweka mizania sahihi kwenye maamuzi lakini kulikuwa na udhaifu katika tabia yake hiyo.

Atakumbukwa kwa mema mengi pia, mloganzila, mwendokasi na miradi mingine mingi tu,
 
M
Mataka tena rc bora wa simiyu
Mataka huyu alitokea bima taifa akaenda PPF. Mwisho akakwamia ATCL. Alisha fungwa na Sasa Yuko huru.

All in all JPM nampenda anavyoonyesha kwamba ukitenda ubadhirifu basi gereza lazima ulione. Lakini Kuna kitu wanasheria lazima wakiangalie hivi Kama ni tuhuma basi upelelezi uende umekamilika ili mahakama itoe hukumu na sio kutesa watu mahabusu wakisubiri upelelezi ukamilike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
M
Mataka tena rc bora wa simiyu
Ndio maana wanaume wa Dar tunasakamwa, ati Mataka RC bora wa simiyu, are we not updated to such extent?? Ivi hukuwai kumsikia mataka wa ATCL na hata akapelekwa mahakamani kwa kuhujumu na maamuzi ya ivyo dhidi ya shirika la ATCL??

RC wa simiyu ni mtaka, ivi mtaka ana ubora gani jmn?? Au ni ule ubora kwa kujikomba kwa jiwe??

Jmn endeleeni kutupiga madongo tu ss wanaume wa DAR, si kwa umbumbu huu akseh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IKIWA ni zaidi ya miaka miwili tangu aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Harry Kitilya na wenzake kufi kishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wameendelea kusota rumande kwa sababu upelelezi bado haujakamilika.

Aprili Mosi 2016, Kitilya ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kampuni inayoshughulikia Uwekezaji wa Mitaji na Dhamana (Egma) pamoja na maofisa wawili wa Benki ya Stanbic akiwemo aliyekuwa Miss Tanzania (1996), Shose Sinare na Sioi Solomon ndio ilikuwa mara ya kwanza kufikishwa mahakamani hapo na kusomewa mashitaka nane ikiwemo ya utakatishaji fedha.

Hata hivyo, washitakiwa hao wanaendelea kusota rumande kwa sababu mashitaka ya utakatishaji fedha yanayowakabili hayana dhamana kisheria. Jana upande wa mashitaka ukiongozwa na Wakili wa Serikali, Patrick Mwita alidai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi kuwa kesi hiyo ilikuja kwa ajili ya kutajwa na kwamba wanawasiliana na wachunguzi ili wajue upelelezi umefikia wapi.

Mwita aliieleza mahakama kuwa upelelezi bado haujakamilika kwani wanaendelea kuwasiliana na wachunguzi. Baada ya kueleza hayo, Hakimu Shaidi aliahirisha kesi huyo hadi Novemba 16, mwaka huu kwa ajili ya kutajwa na kuangalia kama upelelezi umekamilika ama la.

Washitakiwa wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashitaka ya kula njama, kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutakatisha fedha. Wanadaiwa kutenda makosa hayo kati ya Machi 2013 na Septemba 2015 wakati wa mchakato wa mkopo wa dola za Marekani milioni 550 kwa Serikali ya Tanzania kutoka Benki ya Standard Chartered Uingereza.

Wanadaiwa kuwa Machi 2013 jijini Dar es Salaam walijipatia dola za Marekani milioni sita, wakionesha kuwa fedha hizo zilikuwa ni malipo ya ada ya uwezeshaji upatikanaji wa mkopo na zililipwa kupitia Kampuni ya Egma T Ltd.

Washitakiwa hao wanadaiwa kutakatisha fedha kwa kuhamisha, kuchukua na kuweka dola za Marekani milioni sita katika akaunti tofauti za benki. Kati ya Machi 2013 na Septemba 2015, wanadaiwa kuwa waliweka fedha hizo katika akaunti mbalimbali zilizomilikiwa na kampuni ya Egma na kwamba walipaswa kufahamu kuwa fedha hizo ni mazao ya uhalifu wa kughushi.
Wacha wasote maana imeandikwa utaishi kwa jasho lako sio wizi.
 
kila rais alitafuta WA kumtingisha kipindi chake hivyo magufuli sio wa kwanza kumbuka

Mkapa alimtingisha nalaila kiula
JK mramba na yona
Jiwe ndio hao na kina seth
Huko kote inaonekana sio chuki au kisasi ila kwa jpm tu

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Back
Top Bottom