Nilijua utatoka shimoni kwako tu uje umtetee mfadhili wako!! Mbona husemi ufisadi wa HOME SHOPPING CENTRE na jinsi alivyofadhili hawa jamaa kupitisha makontena bandarini bila kulipa kodi; jinsi alivyowalinda wauza madawa ya kulevya mpaka ameingia Magufuli ndio wakapelekwa Marekani; Unajua yeye ndiye aliyemlazimisha Mattaka kuingia mkataba wa kukodisha ile ndege ya AIRBUS kutoka kwa mlebanoni iliyolimbikiza deni la mabilioni kwa serikali!! Halafu unasema alikuwa anapiga vita ufisadi? Unajua gharama ya Barabara ya Bagamoyo mpaka Msata umegharimu kiasi gani na mjenzi akiwa swahiba wake Subash Patel?
Unajua kısa cha yeye kusabotage kukamilika kwa radium ya katibi ya Warioba? Aliogopa kama ile rasimu ingepitswa na katibi kukbaliwa yeye çivi leo yangempata yaliyompata Jacob Zuma kule South Afrika!!!
Sasa wewe ndio ukome ukomae.