Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,467
- 9,007
Anaye chukia tajiri atakuwa kichaa, kama yupo. Tuseme kuna mtu anamchukia mtu kama Carlos au Bill Gates na watu kama hao? Siamini hivyo.
Suala ni kuwa watu wanaunganisha utajiri wa watu kama hawa na ufisadi, serikalini au kwenye taasisi zake. Kwamba jamaa waliiba ndio maana wamekuwa matajiri. Kwamba jamaa walitumia nafasi zao au za washirika wao kuiba na kuwa matajiri.
Watu wana wahusisha wengi wa matajiri wa kibongo na uwizi.
Na hata wakishinda kesi haimaanishi kuwa kulikuwa hakuna uwizi au makosa mengine waliyofanya. Hebu angalia uwezo wa waendesha kesi wetu na rushwa ilivyo tawala
Umenena vyema sana Mkuu.
-Kaveli-