Kitila Mkumbo: Nchi zenye akili hupima uwezo wa Wagombea Urais kupitia midahalo

Kitila Mkumbo: Nchi zenye akili hupima uwezo wa Wagombea Urais kupitia midahalo

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
844
Reaction score
1,608
Kupitia akaunti yake ya mtandao wa X aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Prof. Waziri Kitila Mkumbo Septemba 29, 2015 aliwahi kuandika "Nchi zote zenye akili hupima uwezo wa kifikra wa wagombea urais kupitia midahalo. Hapa kwetu wanakwepa. Ujanjajanja na ulaghai. Tukatae"

Ukisoma kwa umakini hii tweet yake utaelewa kuwa wagombea Urais wengi hawataki mambo ya Presidential Candidates. Ila kusema kweli awamu hii ingefanyika midahalo kwa wagombea Urais ingegeuka Comedy maana hata kampeni zao tu hazieleweki.

photo_2025-09-29_14-46-52.jpg
 
Kupitia akaunti yake ya mtandao wa X aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Prof. Waziri Kitila Mkumbo Septemba 29, 2015 aliwahi kuandika "Nchi zote zenye akili hupima uwezo wa kifikra wa wagombea urais kupitia midahalo. Hapa kwetu wanakwepa. Ujanjajanja na ulaghai. Tukatae"

Ukisoma kwa umakini hii tweet yake utaelewa kuwa wagombea Urais wengi hawataki mambo ya Presidential Candidates. Ila kusema kweli awamu hii ingefanyika midahalo kwa wagombea Urais ingegeuka Comedy maana hata kampeni zao tu hazieleweki.

View attachment 3480801
Kipindi hiko bado alikuwa jalalani..
Njaa mbaya sana.. na miki nasubiri fungu langu nianzenkumwanga pumba.
 
Huku hakuna wanacho kijua zaidi ya kulishana matango pori na kujaza ng'ombe kwa malori kwenye mikutano.
 
Hapo alisema wakati akili ilikuwa kichwani bila shaka. Muulize leo wakati akili imehamia tumboni halafu umsikie majibu yake kama yatafanana. Atakataa kata kata.
 
Unaenda kumsababishia matatizo PhD jalalani.
Ataenda delete hiyo post
 
Back
Top Bottom