Kuna very reliable trusted sources viungani ubalozi Sweden. Ni vijana wangu wana ni brief kila mara maswala sensitive ya taifa le kuwa Kitila Mkumbo akae standby.
Ikumbukwe Kitila ndo alikuwaga choice ya mama lakini Yuda akalazimishwa.
Bado nasubiri updates zingine kutoka kwa vijana wangu wengine Dar na Dodoma Rama na Frenki.
Muwe wavumilivu tu nitazidi kuwa brief na kuwa update.
Wote hawafai tu. Bora hata wangempa urais Irene Uwoya angeleta tija.Sasa kila mtu atakuja na jina lake maana hii nchi kama haina mwenyewe sasa.Lakini yote haya shida kubwa ilianza na yule mtakatifu wa Chato sijui huyu bibi alimchota wapi jamani?
Hii nafasi ya sheikh mwaipopo wala siyo gwajimaSiyo kweli
Tetesi zinasema ni Josephat Gwajima
angepewa nabii tito nchin ingekuwa mbali sana hiiWote hawafai tu. Bora hata wangempa urais Irene Uwoya angeleta tija.
Mungu tusaidie hii nchi labda.Hapa ni muujiza tu ndio utatuvusha.Maana raia nazo kama zinakula bangi chafu,hazieleweki kabisa,viongozi ndio hao kama wametoroka Milembe yani moja haikai mbili haikaiWote hawafai tu. Bora hata wangempa urais Irene Uwoya angeleta tija.
Sheria ya wapi hii..haiwezekani Makamu na Waziri Mkuu wakatoka mkoa mmoja, jimbo moja.
Hii nafasi ya sheikh mwaipopo wala siyo gwajima
Sheria ya wapi hii
JPM ni ishara tu... ccm died long time agoSasa kila mtu atakuja na jina lake maana hii nchi kama haina mwenyewe sasa.Lakini yote haya shida kubwa ilianza na yule mtakatifu wa Chato sijui huyu bibi alimchota wapi jamani?
Kwa hiyo, taarifa si fake!Siyo kweli
Tetesi zinasema ni Josephat Gwajima