Kitila Mkumbo awashangaa Upinzani wanaotetea vihiyo

Pale issue ilikuwa ni kuwatoa hao anaosema wana 4 na zero na kuwaacha wenye sifa waendelee, mbona rahic tuu jamani!? Tawi bovu dawa sio kung'oa mti na mizizi yake
Hiyo ndio tafsiri halisi ya kukurupuka.
 
Kwanini asishangae magufuli kudai amekuta barabara hewa wakati ni yeye mwenyewe ndiye amezijenga miaka yote hiyo ya uwaziri was Ujenzi!!!

Kujipendekeza kwingine ni majanga.
 

wengine wakitaka madaraka ni uchu ile mwenyekiti wenu ni sawa tu,
 
Kuinyoosha elimu yetu lazima kuna watu watatimuliwa vyuoni na makazini pia hakuna namna .
Elimu yetu hii ni balaa kuna walimu wana sifa zina mashaka sana mpaka unashangaa alikuaje mwalimu
Sasa kama mtu ana D tu ya Biology na aliacha Physics na Chemistry form 2 atasomaje ualimu wa sayansi
 
Huyu kikumbo nae bogus kweli kuna MTU kawatetea ?watu wana mind the way ishu yako ya kutimuliwa ilivyokua handled basi
 
Ishu sio kutetea vihiyo..walichokuwa wanadai ni utaratibu wa kuwaondoa chuoni ambao ulikuwa umewadhalilisha utu wao..Naona watu wamehamisha magoli kutafuta siasa za maji taka
Hahaaa ngosha sio mchezo. Mnatoka kwenye mada kisha mnarudi wenyewe.
 

Comrade, watu mbona mnasema sana???!!!! Profesa Kitila Mkumbo tangu lini 'ameji-potray' kuwa yeye ni 'genius'? Tuwe fair jamani wakati mwingine...kupita nia za panya maana yake nini? Kama alifeli PCB na akabadilisha masomo na kuchukua ya arts na kupitia diploma kuna ubaya gani?! Kumwita mtu kilaza aliyefeli sioni ubaya wake...ni msemo uliozoeleka vyuoni..Lakini kumwita motto kilaza haina maana na ukoo wake au baba yake kilaza au vilaza..Kama huyo Jesca alipata division 4 naye pia ni kilaza...lakini mtu unaweza ukajibidisha na ukaondoka na ukilaza...
 
Kitila ni mwenyekiti tangu lini? Ila naungana nae kwenye hoja
 
Acheni umbumbu nyie Mkumbo kaongea kama mtaalamu, amewakosoa pia kitendo cha kuchukua wanafunzi wengi inje ya uwezo wa chuo, yaani nyie mmekuwa mbulula kila mnadhani watz wore ni vichwa maji kama boss wenu!
 
Kitila Mkumbo naye kumbe IQ yake ipo down tatizo la kutaka huku na huku siasa mbaya sana... Kazi unataka kujikomba unataka MAdaraka unataka kazi hutaki kuacha Chagua Moja wewe... Issue sio Vilaza namna ya walivyoondolewa pale Chuoni ndio issue... so kupewa Airtime basi ndio unajishusha hadhi na kupotosha UMA ni zaidi ya Upumbavu.

How come umuite Mwenzio Kilaza tena hadharani? na wao wakikujibu kwa jina watakalo amua wao wakujibie utafurahi? au ndio mtawapeleka Mahakamani maana Sheria kwa wenzenu na sio kwenu... tunapoelekea ni kubaya sana viongozi wapo Wana act like God
 
Taarifa ya kutolewa ilitoka jioni ikiwapa saa 24 wawe wameondoka inamaana walitakiwa kulala chuoni na kuamka kwa ajili ya safari. Pale Dodoma kuna usafiri wa kuelekea eneo lolote katika nchi hii. Hivyo kulikuwa hakuna sababu ya wale vijana kukaa mpaka saa 24 ziishe. Wao walikubali kubebwa na baadhi ya wabunge ili wawatumie kupataa ujiko wakidai waliwaokota usiku wakiwa hawana pa kwenda. Ukiangalia wanafunzi waliookotwa hawafiki hamsini kati ya wanafunzi 7000. Iweje wanafunzi 6500 wawe na nauli nakuondoka wabaki hawa hamsini tu? Jibu ni kwasababu wabunge hawakuwa na uwezo wa kukaa na idadi kubwa ya wanafunzi wa kuwapatia ujiko.
Tumia akili yako kutafakari hii kadhia. Siajabu huu ujinga wa wabunge kuwatumia hawa wanafunzi kufanya siasa ndio maana serikali imechukia zoezi zima. Wahadhiri kugoma kunatetesi chadema wamo ndani ndio maana walaka wa wahadhiri uliletwa na Yercko ukitoka kwa mtu wao ndani ya wahadhiri. Ushahidi mwingine ni king'ang'anizi cha wabunge wa chadema kwa swala hili. Hata pamoja na Mh Mkamia kuwa ameomba muongozo kwa swala hili na kujibiwa bado Nasari aliongelea kitu kile kile na baada ya kukataliwa chama kizima kikasimama. Baada ya ufafanuzi ccm walikubali chadema wamekataa kwasababu hii hoja walihisi itakuwa turufu ya kuwaludisha mchezoni kwani sasahizi kisiasa wamechemsha.
 
Prof Mkumbo anatumika sana na watawal ndio maana anathubutu kuwa wazi kwenye vyama vya siasa akiwa mtumishi wa serikali! Na hakuna wa kumgusa! ZZK na Prof Wanajulikana ni vibaraka!
 
Hebu Lumumba lete source hapa, au ni ile kauli ya Magu jana an si unachanganya kweli habari??

Kwani umesha sign buku 7, ukanywe chai kwanza, then uridi?
 
Nyinyi ndo wale mnaofukuza ma-housegirl usiku wasijue pa kwenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…