ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
Hiyo ndio tafsiri halisi ya kukurupuka.Pale issue ilikuwa ni kuwatoa hao anaosema wana 4 na zero na kuwaacha wenye sifa waendelee, mbona rahic tuu jamani!? Tawi bovu dawa sio kung'oa mti na mizizi yake
Na asietaka kukosolewa huwa mnamwita nani vile?hapo ni wapinzani wanakosoana wenyewe hata Kingunge alishamkosoa Mbowe. Anayekosoa upinzani huwa mnamwita nani vile?
Kitila ni mchumia tumbo, uchu wa madaraka. Watanzania msiwe wepesi wa kusahau! Huyu alitimuliwa CHADEMA kwa ajili ya kutaka kufanya "mapindizi" kutafuta madaraka kwenye chama. Maadamu amempata rais anayetaka watu wa kujikomba, atafanya "vituko" vingi!
Hahaaa ngosha sio mchezo. Mnatoka kwenye mada kisha mnarudi wenyewe.Ishu sio kutetea vihiyo..walichokuwa wanadai ni utaratibu wa kuwaondoa chuoni ambao ulikuwa umewadhalilisha utu wao..Naona watu wamehamisha magoli kutafuta siasa za maji taka
Tunaomjua Kitila Mkumbo, naye ni kilaza. Alimaliza PCB mwaka 1992 akefeli, akapitia njia za panya kuingia chuo na kusoma arts. Si genius kama anavyoji potray. Kwa hiyo kusona diploma na kutafuta njia ya kuingia chuo si kitu kigeni kwa Mkumbo, hata Magufuli pia. Alisoma diploma ya ualimu kabla ya kujiunga na chuo. Ni utoto kuwadhihaki watoto hao ati ni vilaza wakati mazingira ya shule yetu ni ovyo na Magufuli anajua hivyo. Mbona Jesca wake naye alipata dvs 4 mwaka 2102? Naye tumuite baba kilaza?
Rais ni baba wa watz wote, kumdhalilisha mwano hadharani kama baba si busara.
Acha matusi we mteteaHata wewe mwenye akili za Kuku unawashangaa wenyewe Udaktar wa Taaluma zao?
Ukipata angalau cheti cha undergraduate ndo Uje na comments hizo
Kitila ni mwenyekiti tangu lini? Ila naungana nae kwenye hojaMwenyekiti wa chama cha ACT-WAZALENDO Tanzania Prof. Kitilya Mkumbo amewashangaa Wapinzani wanaowatetea wanafunzi "vihiyo" waliotimuliwa.
Aidha amesema kuwa alishawahi kuandika makala ya namna ya kutatua tatizo la uhaba wa walimu wa masomo ya sayansi ila hayakufanyiwa kazi.
Acheni umbumbu nyie Mkumbo kaongea kama mtaalamu, amewakosoa pia kitendo cha kuchukua wanafunzi wengi inje ya uwezo wa chuo, yaani nyie mmekuwa mbulula kila mnadhani watz wore ni vichwa maji kama boss wenu!UNAFIKI UNATUSUMBUA SANA TANZANIA,NA KWA UNAFIKI HUU WA KITLYA SIJUI ATAIFIKISHA WAPI ACT.Unafiki mkubwa kuwabwatukia Wapinzani na kuwaacha waliowadahili watoto hao,ni unafiki kusema wale ni watoto wa vigogo,waacheni watu watetee haki za wanyonge jamani.
Fuata taratibu please siyo "mapinduzi"wengine wakitaka madaraka ni uchu ile mwenyekiti wenu ni sawa tu,
Ni nani aliwachukua hao wanafunzi ?Acheni umbumbu nyie Mkumbo kaongea kama mtaalamu, amewakosoa pia kitendo cha kuchukua wanafunzi wengi inje ya uwezo wa chuo, yaani nyie mmekuwa mbulula kila mnadhani watz wore ni vichwa maji kama boss wenu!
Taarifa ya kutolewa ilitoka jioni ikiwapa saa 24 wawe wameondoka inamaana walitakiwa kulala chuoni na kuamka kwa ajili ya safari. Pale Dodoma kuna usafiri wa kuelekea eneo lolote katika nchi hii. Hivyo kulikuwa hakuna sababu ya wale vijana kukaa mpaka saa 24 ziishe. Wao walikubali kubebwa na baadhi ya wabunge ili wawatumie kupataa ujiko wakidai waliwaokota usiku wakiwa hawana pa kwenda. Ukiangalia wanafunzi waliookotwa hawafiki hamsini kati ya wanafunzi 7000. Iweje wanafunzi 6500 wawe na nauli nakuondoka wabaki hawa hamsini tu? Jibu ni kwasababu wabunge hawakuwa na uwezo wa kukaa na idadi kubwa ya wanafunzi wa kuwapatia ujiko.Wapinzani na wale wa Chama Tawala walitetea logistics za kuwaondoa pale chuoni,especially wale wanafunzi walikua under 18years. Kwa kweli mimi naona hii issue inakuwa twisted kila sisiku na sababu zinazotolewa zinabadilika.Tuzidi kuliombea hili taifa letu,tukiendelea kuwalaumu wapinzani wakati haya yote yamefanyika chini ya Chama Tawala,hatuta fika.Cha muhimu ni kujisahihisha pale palipo kosewa na kwenda mbele.Sio wakati wa kutafuta mchawi.
Hebu Lumumba lete source hapa, au ni ile kauli ya Magu jana an si unachanganya kweli habari??Mwenyekiti wa chama cha ACT-WAZALENDO Tanzania Prof. Kitilya Mkumbo amewashangaa Wapinzani wanaowatetea wanafunzi "vihiyo" waliotimuliwa.
Aidha amesema kuwa alishawahi kuandika makala ya namna ya kutatua tatizo la uhaba wa walimu wa masomo ya sayansi ila hayakufanyiwa kazi.