<br />KUU LA MEZA HILO BANA. miaka ya kati themanini (83 - 86) nikiwa pale nyumbii bombii tulikuwa tunafanya hii biashara ya huyu mdudu. tulifuga km ishirini hivi kila jmosi mfugo lzm udondoke. ile ngozi yenye mafuta inachemshwa na kuchujwa mafuta halafu vile vipande vinavyobakia vinawekwa kwenye friji. siku mkipika ndondo mnachanganya na maharage hahaaaaa
ahahaha shemegi, umenikumbusha mafuta ya mdudu yanachujwa kupikia ndondo na wali. Sasa uyakute yamesha-undergo rancidity balaa full kuhara.
hapa wanaenda sokoniView attachment 34668
Hujasema kinapatikana wapi? hiyo ni ribs
sredi nyingine zinaanzishwa tu ili kuwakera watu wengine
this is not gud kabisa