Hapa ndio haswaa
Nashukuru kwa maoni yako, lakini na mimi si animal rights advocate kama wewe, na ningependa haki yangu ya kula Kiti Moto. Kitamu kweli kweli.
Swali, hivi nili mliombwa na wanyama muwavunjie haki yao ya kuliwa kwa BBQ?
wanaudsm hii kitu inauzwa nyuma ya kanisa la EFATHA aisee wanauza kitu classic..wadau.karibu tufurahi....mdudu mtamu hadi najiuliza bila yeye ningekula nini mimi....
asante sana mkuu....hii kitu nzuri sana na inasaidia mambo mengi....nitakuja