Radio Producer
JF-Expert Member
- Feb 4, 2011
- 724
- 295
Hello mwana JF unayesoma,
Leo nimeamua kuchangia machache katika suala hili. Ninaimani watakaohusika watajifunza. Radio na TV nyingi hapa nchini kwetu zimeshindwa kufanya vizuri zaidi kwa sababu hazina vitengo vya Ufuatiliaji ya Follow up de...... Ninaposema zimeshindwa kuboresha nina maanisha kila kukicha radio zetu na TV zetu zinafanya mambo yale yale, ubunifu wao haukui, makosa ni yale yale utafikiri hawayaoni kabisa. Mfano mzuri katika TV zetu kubwa ITV, StartTV, TBC kumekuwa na tatizo katika usomaji wa taarifa mtangazji akisema tupate taarifa zaidi pana kaa kimya taarifa haiji mara tunakuomba radhi kwa kuwa taarifa hiyo haijawa tayari kwa sasa..... sasa uliitangaza kwa nini kama haijawa tayari?? Wakati mwingine Tele prompter wanayosomea habari huwa ina loose mtangazaji analazimika kusoma kwenye karatasi. Haya matatizo hayana uvumbuzi?? Yatakuwepo mpaka lini? Mbona TV kama za CNN hakuna vioja kama hivyo? Hii inatokana na ukosefu au mapungufu ya kitengo cha ufuatiliaji.
Kitengo cha ufuatiliaji kinatakiwa kuwasiliana na audience na kusikiliza maoni yao, Kisha kuyafanyia kazi. Kama watazamaji au wasikilizaji wanakosoa jambo fulani ni vizuri likatatuliwa na kuisha kabisa. Kuna barua nyingi, sms nyingi, email nyingi za wadau mbalimbali hutuma kwenye stations zetu lakini respond ni ndogo sana.
* Kitengo cha ufuatiliaji kinatakiwa kurespond feedback zote: Negative na Postive ili kuimprove radio au TV.
* Lugha nzuri kwa wasikilizaji wa aina zote inatakiwa.
* Kushughulika na matatizo ambayo wasikilizaji wanaomba kusaidiwa.
* Kuheshimu maoni ya msikilizaji, aidha awe targted audience au bonus audience.
* Kukusanya maoni ya wasikilizaji kuwa nini wanapenda kifanyike na mfumo wa matangazo wanaoupenda ili kuweza kuboresha mtangazo yao.
KATIKA RADIO&TV TUNASEMA: Faida ya Radio/TV ni kusikilizwa. Msikilizaji ndiye mwenye maamuzi ya kukusikiliza au la, je unafanya nini kumuridhisha??
Wahusika jitahidini kuweka vitengo vya ufuatiliaji katika stations zenu.
Nawasilisha
Radio Producer.
Leo nimeamua kuchangia machache katika suala hili. Ninaimani watakaohusika watajifunza. Radio na TV nyingi hapa nchini kwetu zimeshindwa kufanya vizuri zaidi kwa sababu hazina vitengo vya Ufuatiliaji ya Follow up de...... Ninaposema zimeshindwa kuboresha nina maanisha kila kukicha radio zetu na TV zetu zinafanya mambo yale yale, ubunifu wao haukui, makosa ni yale yale utafikiri hawayaoni kabisa. Mfano mzuri katika TV zetu kubwa ITV, StartTV, TBC kumekuwa na tatizo katika usomaji wa taarifa mtangazji akisema tupate taarifa zaidi pana kaa kimya taarifa haiji mara tunakuomba radhi kwa kuwa taarifa hiyo haijawa tayari kwa sasa..... sasa uliitangaza kwa nini kama haijawa tayari?? Wakati mwingine Tele prompter wanayosomea habari huwa ina loose mtangazaji analazimika kusoma kwenye karatasi. Haya matatizo hayana uvumbuzi?? Yatakuwepo mpaka lini? Mbona TV kama za CNN hakuna vioja kama hivyo? Hii inatokana na ukosefu au mapungufu ya kitengo cha ufuatiliaji.
Kitengo cha ufuatiliaji kinatakiwa kuwasiliana na audience na kusikiliza maoni yao, Kisha kuyafanyia kazi. Kama watazamaji au wasikilizaji wanakosoa jambo fulani ni vizuri likatatuliwa na kuisha kabisa. Kuna barua nyingi, sms nyingi, email nyingi za wadau mbalimbali hutuma kwenye stations zetu lakini respond ni ndogo sana.
* Kitengo cha ufuatiliaji kinatakiwa kurespond feedback zote: Negative na Postive ili kuimprove radio au TV.
* Lugha nzuri kwa wasikilizaji wa aina zote inatakiwa.
* Kushughulika na matatizo ambayo wasikilizaji wanaomba kusaidiwa.
* Kuheshimu maoni ya msikilizaji, aidha awe targted audience au bonus audience.
* Kukusanya maoni ya wasikilizaji kuwa nini wanapenda kifanyike na mfumo wa matangazo wanaoupenda ili kuweza kuboresha mtangazo yao.
KATIKA RADIO&TV TUNASEMA: Faida ya Radio/TV ni kusikilizwa. Msikilizaji ndiye mwenye maamuzi ya kukusikiliza au la, je unafanya nini kumuridhisha??
Wahusika jitahidini kuweka vitengo vya ufuatiliaji katika stations zenu.
Nawasilisha
Radio Producer.