Kitengo cha Intelijensia cha Simba kipewe kongole

luangalila

JF-Expert Member
Jan 12, 2014
6,328
6,877
Kufuatia dili nono walilo saini Simba Sc leo na kampuni ya michezo ya kubaatisha ya M BET ni wazi Simba Sc ina stahili kongoleee.

Na pongezi kubwa zinakwenda kwa kitengo cha inteljensia ambao wali angazia ili diki mapema kisha waka nyutii kimyaa kisha kumcholesha aliyekuwa mzamin wa zamqn kwa kumuuliza anaongezq bei gani?

Ni wazi mzamini wa zamani alikuwa hawezi kuongeza zaidi ya kile kiasi alichopeleka upande wa pili, sasa hapa nawapongeza kitengo cha masoko na intelijensi cha simba kwa sababu kwa makampuni makubwa imekuwa ni hulka kudhamini vilabu ivi viwili ukirejea zamini za makampuni makubwa kama ile ya kinywaji cha maji ya gold, huyu aliye pita sipoti pesa, tazama huyu mwenye haki ya matangazo.

Ukitazama hapa Simba waliamua kuchukua muelekeo mpyaaa yaan kumpoteza kabisaaa Utopolo .

Hakika Simba sc mnastahili pongezi .Bibie Barbara Gonzalenzi ww dada ni fire sanaaaa
 
giphy.gif
 
Huu mkataba unasainiwa mara 2 ndani ya miezi 2? Na Yanga wakisikia hivi wanawaambia Sportpesa watangaze upya wakati kwenye karatasi kuna vitu tofauti?
 
Huu mkataba unasainiwa mara 2 ndani ya miezi 2? Na Yanga wakisikia hivi wanawaambia Sportpesa watangaze upya wakati kwenye karatasi kuna vitu tofauti?
Hili nadhani kulikuwa na makubaliano ya pande zote kati ya Simba na M-bet kwamba lazima kiwango atakachopata Simba kiwe kikubwa kuliko atakaopata Yanga kwa sport pesa.

Na ndio maana hawakuweka wazi mkataba ni kiasi gani. Uongozi wa Yanga akili kisoda wameshindwa kuling'amua hili kwa kutokutangaza mkataba wao na Sportpesa mpaka ipite tarehe moja amabao Simba ilishaweka wazi kuwa watabainisha wazi
 
Mimi napata mashaka na hii mikataba hivi kweli hizi kampuni za kamari zinaiingiza kiasi gani cha pesa? Kama kiwangi hichi wanalipa je wanalipa kiasi kwenye kodi maana hawa ni wazi wanaingiza mabilioni.

Au hii mikataba ina masharti kuwa ukichukuwa ubingwa dau hili ukichukuwa ubingwa wa Africa dau ni hili lakini bado siamini kampuni 2 za kamari sportpesa na Mbet wanatoa kiasi hichi kama ni kweli basi wajiandae na kulipa kodi za serikali. Hivi hizi team huwa zinatakiwa kisheria kulipa kodi?
 
Hili nadhani kulikuwa na makubaliano ya pande zote kati ya Simba na M-bet kwamba lazima kiwango atakachopata Simba kiwe kikubwa kuliko atakaopata Yanga kwa sport pesa. Na ndio maana hawakuweka wazi mkataba ni kiasi gani. Uongozi wa Yanga akili kisoda wameshindwa kuling'amua hili kwa kutokutangaza mkataba wao na Sportpesa mpaka ipite tarehe moja amabao Simba ilishaweka wazi kuwa watabainisha wazi
Itakuwa walikubaliana itangazwe ktk wiki ya Smba day, ili kuongeza shamra shamra za wiki ya watu wa soka na timu ya maana ...sio hawa vibweku wazee wa B12
 
Kitengo cha intelijensia? Hii football yetu hiii...bado kitengo cha waganga wa kienyeji....nna wasiwasi na waganga now wanapandisha dau
 
Huu mpira wa kibongo, hasa Simba na Yanga unahitaji Uwe na intelijensia aiswe, hasa kupitia matawi.

Ndo maana msimu uliopita watu walivujisha jezi za Simba..mmeona kilichotokea kwa Yanga msimu huu??😂
Unyama unyama babake🙌
 
Huu mpira wa kibongo, hasa Simba na Yanga unahitaji Uwe na intelijensia aiswe, hasa kupitia matawi.

Ndo maana msimu uliopita watu walivujisha jezi za Simba..mmeona kilichotokea kwa Yanga msimu huu??😂
Unyama unyama babake🙌
Utopolo hamna inteljensia wehu tu wamejaa mle
 
Back
Top Bottom