bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
Mwalimu aliingia darasani.
Akaagiza wanafunzi
watege
vitendwili!
Juma akasimama
"kitendawili?" Mwalimu "tega!"
Juma "NIVUE NGUO nikupe
UTAMU!"
Mwalimu
kwa hasira "pumbavu"
mshenzi nani anakufundisha upuuzi
huo?"
Juma:Nipe mji basi
Mwalimu:Nenda kwa
Tibaijuka
ndo mwenye madaraka ya ugawaji wa miji
Juma "Oyaa ticha kama
hujui si
useme tu?"
Jibu lake ni NDIZI MBIVU!"
Darasa zima kicheko!
Cheka k man u,
Akaagiza wanafunzi
watege
vitendwili!
Juma akasimama
"kitendawili?" Mwalimu "tega!"
Juma "NIVUE NGUO nikupe
UTAMU!"
Mwalimu
kwa hasira "pumbavu"
mshenzi nani anakufundisha upuuzi
huo?"
Juma:Nipe mji basi
Mwalimu:Nenda kwa
Tibaijuka
ndo mwenye madaraka ya ugawaji wa miji
Juma "Oyaa ticha kama
hujui si
useme tu?"
Jibu lake ni NDIZI MBIVU!"
Darasa zima kicheko!
Cheka k man u,