Cheka hadi ufe!!!!!!!!!!!

Aug 12, 2012
7
1
ticha alikuwa anafundisha somo la kiswahili, vitendawili; Choma akanyoosha mkono ili atoe kitendawili chake
CHOMA: Kitendawili
TICHA: Tega
CHOMA: Nivue nguo nikupe utamu
TICHA: We Choma mjinga!! nani kakufundisha ujinga huo!? usilete umalaya wako darasani
CHOMA: ticha siyo umalaya, kama umeshindwa si useme tukusaidie, jibu lake ni ndizi

class zima kichekoooooooooo!!!!!!!!!!!!!!
 
ticha alikuwa anafundisha somo la kiswahili, vitendawili; Choma akanyoosha mkono ili atoe kitendawili chake
CHOMA: Kitendawili
TICHA: Tega
CHOMA: Nivue nguo nikupe utamu
TICHA: We Choma mjinga!! nani kakufundisha ujinga huo!? usilete umalaya wako darasani
CHOMA: ticha siyo umalaya, kama umeshindwa si useme tukusaidie, jibu lake ni ndizi

class zima kichekoooooooooo!!!!!!!!!!!!!!

Huyu kama ni mwalimu alyesoma na ana taaluma ya ualimu ilibidi apelekwe Mirembe Au Marumba akachekiwe kama akili ni nzuri au ina virus ili wamscan au kumformati akili yake ili aondokane na dhana potofu ya UMALAYA kichwani mwake awaze somo la Kiswahili co NGONO kama anavyo mponda CHOMA mwanafunzi wake mwelevu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom