X GIRL FRIEND
Member
- Sep 2, 2011
- 69
- 21
Akizaa mara moja hufa?
Baba Abdallah kichwa wazi
Baba Abdallah kichwa wazi
Huwa anakufa sasa hivyo?
Si anafufukaga baada ya masaa
Jamani huyo baba abdalah kichwa wazi ndo nani?
Kabakabana umenifanya nicheke kwa laudi spika lol.Jamani huyo baba abdalah kichwa wazi ndo nani?
ndiyo huyo huyo baba abdalah kichwa wazi. Anaheshimika kweli, akina mama wengi wanampa salute. Bahati mbaya wewe ni mwanaume huwezi kumpa salute.
Kabakabana umenifanya nicheke kwa laudi spika lol.
ndiyo huyo huyo baba abdalah kichwa wazi. Anaheshimika kweli, akina mama wengi wanampa salute. Bahati mbaya wewe ni mwanaume huwezi kumpa salute.
huwa anazimiaga lakini ukiendelea kumpepea (chochea ndani kwa ndani) anafufuka dakika 2 haifiki.
tega.Nalog off
i missed u dear,umetuletea nini?
i missed u dear,umetuletea nini?
Alilog off halafu akasahau password
Alilog off halafu akasahau password