Zinduna..pusi tusi bana.Pusi nke au Pusi Mme? malizia basi~~~~~
Umekosa bana, paka halii nyau analia hivi~~~~~ "Miaooo~~~Miaooo~~~Miaooo"
Huyu atakua ni NYAU.Ankaa mekoni alia Nyauuu~~~~~nyauuu~~~~~~nyauuuu~~~~~~~
Hebu nipeni jibu, au mnipe mji.
Nakupa Bugurun Mnyamani.Shostito umekosa...............
Nasubiri munipe mji