Annie X6
JF-Expert Member
- Mar 16, 2023
- 405
- 751
Mwanenu jambo si jambo sielewi kabisa.
Mtaani kwangu kuna mambo nahisi hayajakaa sawa. Uchangamfu wa majirani sio huu ninaoujua, tunezoea kuchangamkiana katik salam na mambo mengine.
Kwa kawaida nikiwa kijiweni(golini) kukusanya maokoto lazima nipitie sehem na mabest zangu kupata savanna 2 hadi 3.
Siku moja nilikunywa kinywaji kwa kuchanganya nilipoteza au niite kuusahau mkoba wangu. Waliookota wakachukua vyao wakautupia dustbin kwa kweli niliumia sana. Ukiwa na ID mbalimbali ukatupwa.
Siku hiyo nipoteza heshima kwa kweli, je hii inatosha kuona utofauti na wananchi wenzangu.
Ninahisi wabaya wangu ni mashosti. Hiki ni kama kitendawili
Mtaani kwangu kuna mambo nahisi hayajakaa sawa. Uchangamfu wa majirani sio huu ninaoujua, tunezoea kuchangamkiana katik salam na mambo mengine.
Kwa kawaida nikiwa kijiweni(golini) kukusanya maokoto lazima nipitie sehem na mabest zangu kupata savanna 2 hadi 3.
Siku moja nilikunywa kinywaji kwa kuchanganya nilipoteza au niite kuusahau mkoba wangu. Waliookota wakachukua vyao wakautupia dustbin kwa kweli niliumia sana. Ukiwa na ID mbalimbali ukatupwa.
Siku hiyo nipoteza heshima kwa kweli, je hii inatosha kuona utofauti na wananchi wenzangu.
Ninahisi wabaya wangu ni mashosti. Hiki ni kama kitendawili