MR. IBU
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 1,380
- 2,963
mfano ni cheupe kama barafu na ni cheusi kama giza. Kuliwa ni haramu na kunywewa ni halali, kina herufi (5) na kinaanza na herufi (m). Kinatumiwa na wanaume mara tatu kwa siku na kinatumiwa na wanawake mara moja tu katika umri wao,je ni kitu gani hicho?
jibu ni mfano