Kitanda na rangi za chumba nilichoandaliwa ukweni kimenisononesha sana

Kitanda na rangi za chumba nilichoandaliwa ukweni kimenisononesha sana

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
10,569
Reaction score
21,075
IMG_20250710_073626.jpg


Nimeoa kwenye mkoa mmoja wa Kanda ya Kaskazini ambako huko kunatajwa na kuogopwa sana na watu wasio wa ukanda huo, kwani kunasifika kwa kuua mume akiwa na mafanikio.

Hii sio mara ya kwanza kuwatembelea wakwe zangu, na mara zote huwa naandaliwa chumba kizuri chenye kitanda kikubwa, rangi za kuta nyeupe na matandiko huwa ya rangi nzuri zilizotulia.

Sasa uchumi wangu umeongezeka sana, na Nina mafanikio sana kwenye uwekezaji wangu.

Wakwe wameniandalia chumba cha rangi ya zambarau, ambayo ni rangi ya msibani.

Mashuka na matandiko yenye rangi nyekundu, ambayo ni rangi inayoonyesha kumwagika kwa damu.

Pia kitanda nilichoandaliwa ni kidogo sana cha futi sita kwa mbili na nusu, utadhani kitanda cha kuoshea maiti.

Kwa kweli mapokezi haya yamenifikirisha sana, kuanzia Leo usiku nitaenda kulala Arusha, hawa wakwe nadhani wameona sasa wayatamatishe maisha yangu.

Wamenikosa
 
View attachment 3399917
Nimeoa kwenye mkoa mmoja wa Kanda ya kaskazini ambako huko kunatajwa na kuogopwa sana na watu wasio wa ukanda huo, kwani kunasifika kwa kuuwa mume akiwa na mafanikio.

Hii sio mara ya kwanza kuwatembelea wakwe zangu, na mara zote huwa naandaliwa chumba kizuri chenye kitanda kikubwa, rangi za kuta nyeupe na matandiko huwa ya rangi nzuri zilizotulia.

Sasa uchumi wangu umeongezeka sana, na Nina mafanikio sana kwenye uwekwzaji wangu.

Wakwe wameniandalia chumba cha rangi ya zambarau, ambayo ni rangi ya msibani.

Mashuka na matandiko henye rangi nyekundu, ambayo ni rangi inayoonyesha kumwagika kwa damu.

Pia kitanda nilichoandaliwa ni kidogo sana cha future sita kwa mbili na nusu, utadhani kitanda cha kuoshea maiti.

Kwa kweli mapokezi haya yamenifikirisha sana, kuanzia Leo usiku nitaenda kulala Arusha, hawa wakwe nadhani wameona sasa wayatamatishe maisha yangu.

Wamenikosa
Kwa hiyo Shemeji umeamua kuja kutuanika huku Mtandaoni?

Kama hujapenda si ungemwambia Mama tu pale pale yakaisha?
 
View attachment 3399917
Nimeoa kwenye mkoa mmoja wa Kanda ya kaskazini ambako huko kunatajwa na kuogopwa sana na watu wasio wa ukanda huo, kwani kunasifika kwa kuuwa mume akiwa na mafanikio.

Hii sio mara ya kwanza kuwatembelea wakwe zangu, na mara zote huwa naandaliwa chumba kizuri chenye kitanda kikubwa, rangi za kuta nyeupe na matandiko huwa ya rangi nzuri zilizotulia.

Sasa uchumi wangu umeongezeka sana, na Nina mafanikio sana kwenye uwekwzaji wangu.

Wakwe wameniandalia chumba cha rangi ya zambarau, ambayo ni rangi ya msibani.

Mashuka na matandiko henye rangi nyekundu, ambayo ni rangi inayoonyesha kumwagika kwa damu.

Pia kitanda nilichoandaliwa ni kidogo sana cha future sita kwa mbili na nusu, utadhani kitanda cha kuoshea maiti.

Kwa kweli mapokezi haya yamenifikirisha sana, kuanzia Leo usiku nitaenda kulala Arusha, hawa wakwe nadhani wameona sasa wayatamatishe maisha yangu.

Wamenikosa
Tungekutandikia Nyeupe ungesema umewekewa Sanda
 
Asiyeshukuru kwa kidogo hata kikubwa hawezi kushukuru.. Utalala pazuri ukirudi kwako
Sasa nyumba nimewajengea ya nini? Nimewakabidhi nyumba Iko fully furnished, sijui hiki kitanda wamekitoa wapi, na hayo mashuka na rangi ya chumba imebadilishwa. Acheni makusudi na uroho wa mali
 
View attachment 3399917

Nimeoa kwenye mkoa mmoja wa Kanda ya Kaskazini ambako huko kunatajwa na kuogopwa sana na watu wasio wa ukanda huo, kwani kunasifika kwa kuua mume akiwa na mafanikio.

Hii sio mara ya kwanza kuwatembelea wakwe zangu, na mara zote huwa naandaliwa chumba kizuri chenye kitanda kikubwa, rangi za kuta nyeupe na matandiko huwa ya rangi nzuri zilizotulia.

Sasa uchumi wangu umeongezeka sana, na Nina mafanikio sana kwenye uwekezaji wangu.

Wakwe wameniandalia chumba cha rangi ya zambarau, ambayo ni rangi ya msibani.

Mashuka na matandiko yenye rangi nyekundu, ambayo ni rangi inayoonyesha kumwagika kwa damu.

Pia kitanda nilichoandaliwa ni kidogo sana cha futi sita kwa mbili na nusu, utadhani kitanda cha kuoshea maiti.

Kwa kweli mapokezi haya yamenifikirisha sana, kuanzia Leo usiku nitaenda kulala Arusha, hawa wakwe nadhani wameona sasa wayatamatishe maisha yangu.

Wamenikosa
Kwa hiyo chumba kilipakwa rangi ya zambarau kwa ajili yako tu? Hayo mashuka yamenunuliwa kwa ajili yako tu? Na hicho kitanda ni maalum kwa ajili yako tu kukilalia?

Nikisema una changamoto ya afya ya akili nitakuwa nimekukosea?
 
Back
Top Bottom