I igihumbi JF-Expert Member Feb 20, 2017 441 350 Feb 19, 2022 #1 kitanda na meza vinauzwa bado vipo kwenye hali nzuri. Nauza vyote kwa pamoja bei sawa na bure tsh 160000 . kwa atakae hitaji kitanda tu 120000 meza tu 60000. vipo dar mbagala sabasaba . 0657 623266 0694185384
kitanda na meza vinauzwa bado vipo kwenye hali nzuri. Nauza vyote kwa pamoja bei sawa na bure tsh 160000 . kwa atakae hitaji kitanda tu 120000 meza tu 60000. vipo dar mbagala sabasaba . 0657 623266 0694185384
I igihumbi JF-Expert Member Feb 20, 2017 441 350 Feb 19, 2022 Thread starter #3 Mtoto wa Masikini_Tz said: Picha Hazifunguki Click to expand... karibu mkuu natumaini picha umeziona maongezi yapo kuhusu bei karibu sana.
Mtoto wa Masikini_Tz said: Picha Hazifunguki Click to expand... karibu mkuu natumaini picha umeziona maongezi yapo kuhusu bei karibu sana.
Billie JF-Expert Member Aug 13, 2011 12,726 19,877 Feb 19, 2022 #4 Vitanda vya type hiyo huwa vinapigaga makelele wakati wa show
Mwizukulu mgikuru JF-Expert Member Oct 21, 2021 4,737 11,096 Feb 19, 2022 #5 Hicho kitanda hata bure sichukui.....kuhusu meza fundi yuko ananitengenezea kama hii
I igihumbi JF-Expert Member Feb 20, 2017 441 350 Feb 20, 2022 Thread starter #6 MWENYE LAKI MOJA AJE LEO VYOTE NAMUUZIA KWA 100000 PIGA 0657623266 au 0694185384
I igihumbi JF-Expert Member Feb 20, 2017 441 350 Feb 20, 2022 Thread starter #7 Mwenye laki moja aje achukue leo
google helper JF-Expert Member Jun 11, 2013 9,629 13,694 Feb 20, 2022 #8 Vingekuwa dodoma ningechukua
Dr wa Kaliua JF-Expert Member Sep 20, 2020 1,636 3,807 Feb 20, 2022 #9 Nina Elfu Hamsini hapa! Vipi nije au niifanyie Mambo mengine?
I igihumbi JF-Expert Member Feb 20, 2017 441 350 Feb 20, 2022 Thread starter #10 Mwizukulu mgikuru said: Hicho kitanda hata bure sichukui.....kuhusu meza fundi yuko ananitengenezea kama hii View attachment 2124313 Click to expand... acha tabia za kike sawa
Mwizukulu mgikuru said: Hicho kitanda hata bure sichukui.....kuhusu meza fundi yuko ananitengenezea kama hii View attachment 2124313 Click to expand... acha tabia za kike sawa