Oil usaidia kuondoa wadudu waharibifu!Dah! Oil chafu tena????
Ajaribu kunyunyizia petrol au dieselUlishajaribu mafta ya tas
Ndiyo... Ata iyo pia ni Oil!Hata ya pikipiki?
Sahii nina mtondoo 2007 hadi leo kama kipyaAisee hicho kitanda chako kinaonekana ni dhaifu hata kugegedana kutakuwa dhaifu.
Nunua kitanda cha mbao ngumu ufurahie game kwa raha zako.!
Oil chafu Asee kitakuwa na mvuto hicho kitanda?Nazn mTi waliokutengenez ktand hakuw mzuri au hauku komaa
Tumia oil chafu kupakaza
Hizo mbao za kitanda kama zingekuwa treated pia zisingeliwa na hao wadudu?Ndugu yangu nikwambie tu ukweli, hicho kitanda kwisha habari yake. Utahangaika sana lakini, hao wadudu huwa wazazimia kwa muda tu kisha utawasikia tena wanafanya yao.
Chonga kitanda kwa mbao ngumu kama mninga (kuwa makini usiibiwe kwa mininga feki) au nunua cha chuma.
Pia hiyo iwe fundisho pale utakapokuwa unapauwa nyumba yako, hata wauza mbao wakushawishi vipi kuwa ziko treated usikubali, nunua dawa wazi treat upya mbele ya macho yako.
Mkuu acha masihara basi Sasa oil mkuu na shuka wapi nawapi;!!??Mkuu...
Oil usaidia kuondoa wadudu waharibifu!
Technically yes. Lakini unaanza vipi kupaka ile dawa kwenye furniture za ndani? Ndio maana watu wanatumia mbao ngumu kama alternative.Hizo mbao za kitanda kama zingekuwa treated pia zisingeliwa na hao wadudu?