Kitamu share na wenzio....hii kali

Kitamu share na wenzio....hii kali

Chibuku au kimpumu?, zambia au bongo?
 
Naona kuna chupa za bia hapo pembeni, ndio kusema wamezichanganyia humo humo kwenye Chimpumu??
 
Yaani nimecheka hadi basi!hii sijawahi iona in my life time!!!!!!!!
 
Hii inatumika sana Uganda!! Kila inapopungua, wanaongeza maji ya moto mpaka mwishowe wanajikuta wanakunywa maji. Ikifikia stage hiyo, kila mmoja anaondoka kivyake...
 
hahahaaaa wenyewe wana enjoy kweli!!!!!!!!!!!!
 
Hii nzuri sana...nimeipenda... Hata namimi ningekuwepo ningewaunga mkono.... Picha nzuri sana.
 
Hizi fwefwe nzuri sana!!Ndo maana huwa napenda sana kwenda kijijini!kuna wakati unamix na bia kuiongeza makali.Ikipungua mnaongeza maji ya moto au kimpumu kingine!!mara nyingi tunaokunywa wote ni wataalamu hivyo mate hayabaki humo
 
hao ndio waha kutoka kigoma wako chuoni wameamua kukumbuka home. wanapiga kayoga hapo.
 
Back
Top Bottom