Kitamu share na wenzio....hii kali

Kitamu share na wenzio....hii kali

Kazi sasa kwa wale wanaokunywa na kurudishia humohumo, mmmh, mie hata kwa kulazimishwa hicho kinywaji nisingeshiriki.
 
It need heart to do that....na magonjwa haya karne hii... TB etc.
 
Mkuu nimefurahi sana kwa sababu umenikumbusha mbali sana,enzi bado sijazijua bia na hata ningezijua nilikuwa sina uwezo wa kuzinunua!!
 
You know what, that thing is not much tasty if:
- You are alone drinking it
- You don't have a pipe
- From one of you in a team, there is no one sucking and releasing it back into the container
=> Try it one day!!!!
 
Ilikuwa nisiku ya kufungua nyumba rasimi ndoo ya mbege na nyuma ya mpiga picha ukiangalia vizuri utaona mbuzi mzima ndafu inazunguka Ilikuwa kwa mkwe huko marangu
 
Nimewahi kuishuhudia hii kitu huko Rwanda. Jamaa hadi nyama ya kwenye mishikaki wanashare kinamna fulani hivi
 
hapo hivi hakuna anayetemea mate humo ndani??
 
Back
Top Bottom