kinjumbi one
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 1,696
- 2,159
Ndiyo huruhusiwi, hata wa Zanzibar haruhusiwi kuingia darMimi kitambulisho sina INA maana siruhusiwi kuingia Zanzibar?
Ndiyo huruhusiwi, hata wa Zanzibar haruhusiwi kuingia darMimi kitambulisho sina INA maana siruhusiwi kuingia Zanzibar?
Kwenye ajali.vitambulisho vinahusika vipi?kikubwa ni taarifa za abiria.kwani kitambulisho wana Baki nacho wao.?si naingia nacho kwenye boti.kitambulisho kitanisaidiaje kwenye ajaliKitambulisho ni document yenye kukutambulisha wewe, kutokana na usafiri wa ndege au meli hutumika sana kwa sababu zilizowekwa na mamlaka husika, kama Zanzibar watu wangekuwa wanakwenda kwa basi naona vitambulisho visingetumika. SUMATRA waliikazia nidhamu ya kuonyesha kitambulisho pindi unaposafiri kutokana na ajali za baharini zinapotokea inakuwa vigumu kutambua waliyopata ajali wakina nani ikiwa hawajaorodheshwa na kampuni husika, vile vile na kwa ajili ya usalama pia kujua nani kaenda Zanzibar na nani katoka Zanzibar kaenda Dar. Tujaribu kuheshimu taratibu zilizowekwa na mamlaka husika ni kwa ajili ya manufaa yetu.
Ubaguzi huo.Ndiyo huruhusiwi, hata wa Zanzibar haruhusiwi kuingia dar
Huo sio ujinga bali ni moja kati ya measure zilizochukuliwa baada ya kutokea ajali mfululizo zilizopelekea mamia ya watu kufariki na wengine b8la kutambulika na ndugu zao, wameweka utaratibu huo ili kuwa na majina halisi ya watu wanaosafiri ili endapo ikitokezea ajali majina ya waliokuwemo kwenye boti yatangazwe ili ndugu zao waweze kuwatambua.Hivi huo ujinga wa kwenda Zanzibar na vitambulisho haujafutwa tu?
Wewe umapossfiri Mamlaka wanakuwa na manifest ya wasafiri wote, tena kwa majina halisi waliyochukua kwenye vitambulisho.Kwenye ajali.vitambulisho vinahusika vipi?kikubwa ni taarifa za abiria.kwani kitambulisho wana Baki nacho wao.?si naingia nacho kwenye boti.kitambulisho kitanisaidiaje kwenye ajali
Kwani unaruhusiwa kusafiri kwa Ndege bila kuonyesha kitambulisho?Ubaguzi huo.
Mkuu kwani usafiri ni ndege na boti tu.mbona hauulizi mabasi na treniKwani unaruhusiwa kusafiri kwa Ndege bila kuonyesha kitambulisho?
Kwa hyo nisipo kuwa na kitambulisho nitawaongopea jina langu?Wewe umapossfiri Mamlaka wanakuwa na manifest ya wasafiri wote, tena kwa majina halisi waliyochukua kwenye vitambulisho.
Ndio. Ni wengi sana wameshafanya hivyo, mwisho wa siku inapotokea ajali maiti zao huwa zinakosa kutambuliwa na ndugu zao.Kwa hyo nisipo kuwa na kitambulisho nitawaongopea jina langu?
Poa sio mbaya.Mimi kitambulisho sina.ntakwenda kupanda jahaz bagamoyoNdio. Ni wengi sana wameshafanya hivyo, mwisho wa siku inapotokea ajali maiti zao huwa zinakosa kutambuliwa na ndugu zao.
Hata ujinga wa kutoka zanzibar kwenda Bara vitambulisho havijafutwa pia!Hivi huo ujinga wa kwenda Zanzibar na vitambulisho haujafutwa tu?
Watu wanakariri tu we subiri itafika kipindi na nadhani ni wakti sasa hata mabasi na treni zifanye utaratibu huoSio ujinga ni sahihi ki usalama, ili kukitokea ajali ni rahisi kugundua bado nani hajaokolewa na anatokea kata gani. Mbona hata kwenda mwanza au Safari yeyote kwa Ndege ni hivyo hivyo, yani lazima uwe na kitambulisho.
Cheti cha kuzaliwa sii kitambulisho mkuu!!Cheti cha kuzaliwa kinatosha.
Zanzibar kwasababu watalii ni wengi ndio maana wanatumia mfumo huo
Kama huna zipo taratibu mbadala kupitia serikali yko ya mtaa!na usikariri kwenda Sanzibar hata aliyeko Zanzibar pia hatoki ila kwa utaratibu huo huo na hata nyumbani kwako unapoenda chumba cha watoto shart ujitambulishe japo kwa hodi na sauti huingii tu kwa kywa ni nyumba yako na ni watoto wako !Tatizo kama hauna si watakuzuia ndo sisi tunachopinga.ina maana kama hauna kitambulisho hauingii Zanzibar?
Kitambulisho chako kitasaidia kurecord taarifa zako(jina kamili,makazi yako au unapofanya kazi)hii ni faida kwako na ndg endopo imetokea ajari mkuu.Kwenye ajali.vitambulisho vinahusika vipi?kikubwa ni taarifa za abiria.kwani kitambulisho wana Baki nacho wao.?si naingia nacho kwenye boti.kitambulisho kitanisaidiaje kwenye ajali
Nitapanda jahazi bagamoyo.Kama huna zipo taratibu mbadala kupitia serikali yko ya mtaa!na usikariri kwenda Sanzibar hata aliyeko Zanzibar pia hatoki ila kwa utaratibu huo huo na hata nyumbani kwako unapoenda chumba cha watoto shart ujitambulishe japo kwa hodi na sauti huingii tu kwa kywa ni nyumba yako na ni watoto wako !
Mimi kukaa foleni kusubiri kitambulisho kulinishinda.uwa siwezi kabisa.Kitambulisho chako kitasaidia kurecord taarifa zako(jina kamili,makazi yako au unapofanya kazi)hii ni faida kwako na ndg endopo imetokea ajari mkuu.
Hajakatazwa kujiuzulu.Mkuu WATU WENGINE HAWAJUI NINI MAANA YA KUA NA KITAMBULISHO.AKIOMBWA ATI ANAJISIKIA KAMA KADHALILISHWA.KWELI NCHI HII KAZI IPO.
NDIO MAANA HATA MKUU AMESEMA ANAJUTA HATA KUWA RAIS WA NCHI.
Mkuu sasa unaishije bila kitambulisho?Mimi kukaa foleni kusubiri kitambulisho kulinishinda.uwa siwezi kabisa.
Wewe unazungumzia nini au kitambulisho gani?Cheti cha kuzaliwa sii kitambulisho mkuu!!
Cheti cha kuzaliwa kinaweza kukutambulisha makazi yako?
Toa comment yenye kusaidia na usitoe yenye kupotosha.
Kwa mfano mimi nimezaliwa Mkoani Mveya na cheti changu kinaonesha hivyo,but naishi Dar na mimi asili yangu ni Mara,na Mbeya nilipozaliwa babangu alikua mtumishi serikalini,but 99% ya ndg zangu ni Musoma,jee ikitokea nimetumia cheti cha kuzaliwa na ajari imetokea nikafariki jee ntapelekwa Mbeya nilipozaliwa ili ndg zangu waje kunitambua?yani watokee Musoma?