Kitambue chombo VOYAGER 1

kurudi chini kwenda wapi? au hujui hakuna sayari iliyojuu wala chini
Mkuu umeanza kuelewa kwanza ukajibu au umesoma tu kwa ajili ya kujibu...sijazungumzia suala la sayari hata kidogo ila nilichohoji ni hiyo voyager pindi chanzo cha nishati kitakapoisha kwa maana hakitokuwa na uwezo tena wa kujioperate so what next...haitokuwa tena na escape velocity hvyo itazidiwa nguvu na kitaanza kudondoka so from this point of falling where it will be dumped?


[emoji36] [emoji36]acha kabisa
 
Huto to thrusters hatutaweza kuzuia gravitation pull ya chochote! Lakini pia spidi yake itapungua baada ya hapo hizo transponders zitazimika,baridi huko ni kaaali saana haijulikani baada ya hapo.
 
Mkuu kikiishiwa hiyo nguvu kitabaki kinaelea kuhusu kuvutwa kitavutwa endapo kutakuwa na gravit yoyote inayoweza kukivuta lkn kama kitakuwa karibu na huo mvutano wa hiyo nguvu,kwasasa kipo mbali mno na dunia pamoja na solar system yetu hivyo kuvutwa huku kwetu mmmmmhh! ni shughuli getegete..
 
Mimi kwa ukubwa wa dunia hii najiona kama "bacteria" na mimea naiona kama "algae"
hio ndio sababu ya mafundisho yote haya kwamba watu wote ajione wadogo na hawana thamani ili wawe rahisi kuongoza,kama ingekuwa watu wanajiona kuwa wapo katika centre of everything na kila kitu kilicho hapa kimefanywa kwa ajili yetu tungekuwa na thamani kubwa sana na ingekuwa tabu kumtawala mtu

jinsi ya kuendesha jamii kubwa ya watu ni lazima uwaingie akilini na kuwaaminisha mambo ya kusadikika,maana yake ni kuwa ikiwa tutajiona kama bacteria na dunia yetu ni kama punje ya mchanga inapeperuka kwenye infinity space kwenye trilion za nyota nyengine na matokeo ya sisi kuwepo hapa duniani ni bahati tu na sio kwa makusudi basi thamani yetu inapungua na tunabakia kuwa ni watu tusiojali kitu
 
hio ndio sababu ya mafundisho yote haya kwamba watu wote ajione wadogo na hawana thamani ili wawe rahisi kuongoza,
Hapana wala sikuwa na maana hiyo.nilikuwa namaanisha udogo wangu na ukubwa wa sayari niliyomo thats it.
 
sisi kuwepo hapa duniani ni bahati tu na sio kwa makusudi basi thamani yetu inapungua na tunabakia kuwa ni watu tusiojali kitu
Mimi naamini kuwa tumeumbwa na mungu,ila tumewekwa hapa kwenye hili "tufe"kwa lengo fulani.
 
1977-2020....Mzungu si mtu wa mchezo mchezo aisee
 
Mkuu kama naanza kukuelewa Sasa japo kwa mbaaali....
 
Mmi nakuelewa sana usiambiwe kitu tu duniani ukakubali mungu ametupa akili binaadam ya kufikiri unaweza akaambiwa jambo kumbe anaekwambia lile jambo anamaana yake tofauti na unavyofikilia wewe
 
Duh wenzetu wametushinda mbal sana
 
Mkuu ZENJIBARIA naomba nikuulize hii kitu Nina rafiki yangu yeye ni baharia aliwahi kuniambia kuna sehemu ya dunia hii wakipita na meli miezi fulani kunakuwa hakuna jua kabisa ni baridi au kuna kipindi wanaliona jua Kwa mbali na kupotelea huko huko na kuna kipindi jua linakuwepo kama kawaida japo na linakuwa sio kama la huku Kwa maana ya masaa yanakuwa tofauti ya mchana na usiku,
Je hauoni hiyo ni prove kwamba dunia inalizinguka jua na sio jua lipo juu ya uso wa dunia?
 
Mtu mweusi alilaaniwa tangu enzi acha tushughilike na matumbo maana ndo uwezo wetu ulipofikia
 
Ni anga mkuuu sio dunia, dunia ni hii tunayoishi sisi viumbe hai, lakini ukisha toka nakupaa juu zaidi hadi panaitwa space yaani anga
kila pahali ni space mkuu space ina sifa hizi actions can happen and things can exist so hata hapa duniani kuna space humo geto unapolala ni space... sio kwamba inaanzia huko juu
 
kila pahali ni space mkuu space ina sifa hizi actions can happen and things can exist so hata hapa duniani kuna space humo geto unapolala ni space... sio kwamba inaanzia huko juu
Ni sawa, ila kwakile kilichozungumziwa ndio kilikuwa hakihusu dunia , bali space mzee
 
nawe umeona hilo mkuu ukimsoma vizuri ni kama ulivyosema huenda anajaribu kuona kama ananguvu ya ushawishi...
ki ukweli nia yangu sio kumshawishi mtu kama mimi sikushawishiwana mtu na naaamini kila mmoja wetu atakuwa na wakati wake wa kufahamu kwa viwango tafauti vya uelewa,nlikuwa kutoa maoni yangu tu,sina chama kuwa nnatafuta wafuasi,yangu ni maoni tu
 
ki ukweli nia yangu sio kumshawishi mtu kama mimi sikushawishiwana mtu na naaamini kila mmoja wetu atakuwa na wakati wake wa kufahamu kwa viwango tafauti vya uelewa,nlikuwa kutoa maoni yangu tu,sina chama kuwa nnatafuta wafuasi,yangu ni maoni tu
vyema...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…