Kitambue chombo VOYAGER 1

Zenjibaria sorry kwa ile comment#55 sorry bro.
 
Mkuu zenj unajua chochote kuhusu radio calls, walkie talkies, one way radios
 
Zenjibaria sorry kwa ile comment#55 sorry bro.

haina shida mi nachukulia criticism kama changamoto tu hazinikeri kabisa,asante.

jaribu kupitia posts nlizoweka kwenye uzi huu zote pengine unaweza kupata aidia japo ndogo ya kujenga maswali
 
Kuna comment yako ya nyumaa nliona umeandika hakuna mwezi ni myth ....tena sasa hv unasema kuna mwezi na jua....

sijawahi kusema hakuna mwezi mkuu,mwezi ni kitu kila mtu anakiona,labda hukunisoma vizuri nimesema mwezini hakuna ardhi kama ilivyo hapa duniani, kwa hio hakuna mazingira ya watu kwenda wakatua spaceships,zipitie vizuri comments zangu
 
Bangi sio nzuri.
Hapo hapo hio internet unayotumia ikizingua unawalaumu tigo 4 G yao inasumbua?
Kama sio bangi ni nini?
 
aiseee,kuna watu wa hivi bado?!!
 
Ninakuelewa sana
 
Tehe mkuu unatumia dose ipi??
 
Word! Sema wengi washalewa na hii elimu yao ya binadamu Ni nyani.
 
Mkuu zenjibaria,ukitaka kujua umbali ingia kwenye universe,kuna sehemu umbali wake unapimwa kwa spidi ya mwanga, kwenye solar system ni yetu ni karibu sana.
 
Milk way galaxy hata usiku inaonekana kwa kiasi kikubwa,ukitumia telescope za kawida tu unaiona hata andromeda,alafu tusiijue dunia tunayoishi.
 
Nilisoma tu ili nipasi but sijawahi kuamini kiwa dunia duara au binadamu asili yake ni Nyani na wala sitakuja kuamini milele. Nachojua jua liko juu linazunguka hii dunia
 
Sijui Imani yako but naona umesema uumbaji wa Mungu so unaamini kuna Mungu.
Then kamsome Joshua jinsi alivyosimamisha jua ndio utajua kipi kinazunguka kati ya jua/mwezi na hii dunia...
 
tatizo ccm mkuu siyo lako!!
 
Bado tunajadili kuhusu matundu ya choo...mamaee
ha ha! mkuu kila jambo lina uzuri wake na ubaya wake... kitendo cha kuwekwa golden record kwenye voyager 1 ambacho kina taarifa zetu na mahala tunapopatikana kwenye galaxy kiliibua mjadala wa vipi ikiwa taarifa hizo zikaangukia kwa viumbe wabaya..? i mean viumbe ambao wanaweza kuja kuleta madhara duniani! hili nalo linatakiwa kuangaliwa maana tunaweza kuingia matatizoni kwelikweli ama tukapigwa cha chembe na baadhi wa watu kuwa kuna viumbe vimekuja kwa ubaya baada ya kupata zile information!
na ikiwa kama ni kweli kama tutashindwa kupambana navyo kuna kuharibiwa kwa dunia ama kutawaliwa!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ