[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikiachaga chips kinapotea
Ila sasa namuachia nani chips na tu mayonnaise?
Anyway, hakiwashi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee udugu una nn lakini?Punguza kula michicha iliyoota karibu na choo
Mama yako mdogo aliniambia anapenda zile pingili 6 za tumbo hivyo nimekuwa kama atakavyo.kama unacho punguza
vijana watakusaidia kazi kwa mamdogo😁
🤣🤣🤣🤣🙌🏿Kitambi kina Raha sana pale unapo futia simu
Wasira hana kitambiMzee Humphrey Polepole hana kitambi
Mongella hana kitambi
Hapi hana kitambi
Jokate hana kitambi
Makala hana kitambi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Janabi Muhimbili hana kitambi.
Kuna namna ana point sana asikilizwe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akituhusia lishe tunamuona nongwa
Sasa kitochi cha masikini atakifutia kwenye kitambi....[emoji2][emoji2][emoji2]Kitambi kina Raha sana pale unapo futia simu
Utakuja kubakwa siku mojaWasira hana kitambi
Peter Msechu hana kitambi
Mnyeti hana kitambi
Nape hana kitambi
Heche hana kitambi
Na mamako?Utakuja kubakwa siku moja