AnyWayZ
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 4,885
- 8,483
Mle kwenye Vazi la Taifa chini ya mtindi ni bullet proof au?Mama Samia yupo njema hii vita ya kitambi noma ametuachia wanawe
Mle kwenye Vazi la Taifa chini ya mtindi ni bullet proof au?Mama Samia yupo njema hii vita ya kitambi noma ametuachia wanawe
Tia maji tia maji ausiyoMimi pia sina kitambi, ila pangu pakavu.
Acha pombe za kienyejiKitambi aka friji kinaninyemelea na umasikini wangu huu
Ndo kabisa nishapa gundu na sijui nitatoboaje, vipesa kidogo tu kitambo kinanisonga
Bilgate hana kitambi
Elon musk hana kitambi
Aliko Dangote hana kitambi
Bakhresa hana kitambi
Mo Dewj hana kitambi
GSM hana Kitambi
Rostam hana kitambi
Alibaba hana kitambi
Mesi hana kitambi
Ronaldo hana kitambi
Jayz hana kitambi
Rais Samia hana kitambi
Kikwete hana kitambi
Diamond platinum hana kitambi
King Kiba hana kitambi
Obama hana kitambi
Naona kitambi ni ishara ya ujinga na umasikini
Mora niokoe na hili friji tumboni
piga mazoezi ya kata tumbo kabla ya kulala awamu 15 usiku na ukipata muda alfajiri si mbaya ila usiku jitahidi sanaAcha kunitisha
Ina maana kumbe siko timamu?
Wana stress uwe na hela afu usiwe na kitambi? Labda Kama unanusa tuunga Kama diamondMzee Humphrey Polepole hana kitambi
Mongella hana kitambi
Hapi hana kitambi
Jokate hana kitambi
Makala hana kitambi.
Maxence melo hana kitambiKitambi aka friji kinaninyemelea na umasikini wangu huu
Ndo kabisa nishapa gundu na sijui nitatoboaje, vipesa kidogo tu kitambo kinanisonga
Bilgate hana kitambi
Elon musk hana kitambi
Aliko Dangote hana kitambi
Bakhresa hana kitambi
Mo Dewj hana kitambi
GSM hana Kitambi
Rostam hana kitambi
Alibaba hana kitambi
Mesi hana kitambi
Ronaldo hana kitambi
Jayz hana kitambi
Rais Samia hana kitambi
Kikwete hana kitambi
Diamond platinum hana kitambi
King Kiba hana kitambi
Obama hana kitambi
Naona kitambi ni ishara ya ujinga na umasikini
Mora niokoe na hili friji tumboni

Kitambi ni ugonjwa.Na kweli nilimsahau
HahahNikiachaga chips kinapotea
Ila sasa namuachia nani chips na tu mayonnaise?
Anyway, hakiwashi.
kama unacho punguzaAcha kifike tu rafiki.
Hicho hakina shida, shida ni kitambi mtepeto....kinakua square si square, cycle si cycle ilimradi bugdhaKitambi mbinuko