Sio mdada, mtu yeyote mwenye akili timamu sidhani kama utaona ni sahihi kuacha jasho likutitirike au kukaa kwenye sehemu chafu.
Huyo aliyeanzisha mada ni dizain ya binadamu wanaoamini ili uonekane mwanaume basi inalazimu uwe mchafu mchafu usiyejijali [Angalizo ni jina lake: Faru dume yaani anaamini dumeism ni u-rafurafu]. Mijino ya njano yenye ukoko, sura imejaa machunusi, misikio ina nta zinachungulia km mzinga ulio tayari kugemwa n.k
Inasikitisha mtu anayejua kusoma na kuandika, akafika mbali zaidi kiasi cha kuweza kutumia mtandao halafu aulize LESO YA NINI?!! Mkewe yaelekea ana shida sana, ndio hii yenye chupi moja tu, ikifua usiku inaweka mbele ya feni.......pambaf zake! Eti jinsia ME sio sana, HOVYOOOO labda ME wa ukoo wenu ndio hawabebi leso.
Kupengea kamasi, kupigia chafya, kujifuta maji baada ya kunawa mikono etc
Wewe unataka viwe na kazi gani??????????????
Heeh!kumbe nimekosea kuuliza,am xo sory km nimekuboa mdada,unajua kuuliza sio ujinga ee nilitamani sana kunielimisha kuliko kunikashifu kwa jina langu tena kwa maneno machafu km hayo..,.mi sina mengi ya kuongea WADAU NAOMBENI KDOGO MNISAIDIE KUMJIBU HUYU MPENDWA KUHUSU HII THREAD...
Tukutane huko steers mnakotongozania ndio uone kama mimi ni Mdada au MUME HASA.
Huu uzi au ujuha? Eti leso ya nini halafu unajiita mwanaume. Ndio nyinyi mnakanyagiwa wake zenu sababu ya uchafu. Mwanamke ana miaka mi5 hajafika kileleni sababu anakosa hisia kwa sababu ya uchafu wako. Na ningekuwa jirani yako ningekuwa wa kwanza kukugegedea mkeo pimbi wewe.
Usirudi tena kutukana Jinsi yangu kwa asili yako ya uchafu na kukosa ustaarabu. Hao 'wadau' unaowaomba wakusaidie kunijibu ungewaomba wakusaidie kukuelewesha kuwa:
1. Ni aibu na sio ustaarabu kwa mwanaume kupiga chafya bila kufunika mdomo
2. Ni uchafu kuwa na matongotongo au kuyafuta kwa kutumia mikono
3. Wanaume hatufuti mafua na shati tulilovaa kama watoto
4. Kupiga miayo hadharani kama mamba ni uchafu na kero kwa wengine
5. Kutoka mijasho ikakutiririka usoni ni uchafu na sio uanaume.
Uanaume majukumu, sio uchafu. Halafu usinitishie grupu la watu wewe, mwanaume unaomba poo? Jibu hoja sio kukimbilia wadau, ndio nyinyi mnaotupakazia makamasi kwenye viti vya daladala pambaf wewe!
... Sisi watumihaji wa usafiri wa daladala hatuna haja yakuwa na kitambaa cha kufutia jasho..., unapopanda gari (bus) lililojaa sana na kama wewe mfupi unajipangusia jasho kwenye nguo za abiria wenzio...
asante mkubwa,ckujua km ww ni mke au mume kwa sababu ya status yako na taarabu zako,okey inaonekana ww ni mshenzi wa tabia ya kugegeda wake za watu,kumbuka mke wa m2 ni sumu,au we ndo mjinga unaesema unamaziwa geto?OK,ngoja nikae kmya nisije unda Tume nikusake nikupoteze mana hujui unaongea na nani...RESPECT UR SELF,DAMN
hah!hah!hah!mwambie huyo Mwana mtoka pabaya!
Hebu nikuulize hv kweli ww ni mwanaume au mwanamke?MIMI NIMEWAULIZA WANAWAKE,lakn cha Ajabu dume zima Unashadadia thread zisizo kuhusu sasa ww tukuweke kundi gani?au ni wale wa cameruni nin?kwa sababu wanaume tume2lia tunasubri koment za wadada cha ajabu ww mtoka pabaya unakuja na ubaya wako,ama kweli jina linasadifu yaliyomo,DOGO SOMA KWANZA THREAD NDO UKOMENT,ONA SASA UMESHAOLEWA TAYARI!Sitakuwa na dhambi kumgegeda mke wa mtu mchafu kama wewe. I will be doing her a favor.
Kuhusu kunisaka we ni nisake tu, ila uje na leso maana utatoka jasho hadi kwenye hiyo mijino yako ya njano. Nyati hawindwi na mshale wewe. Hiyo mikwara yako tulia nayo utawatishia mateja wenzako kijiweni.
Ombi langu kwako: usituchafulie siti za daladala kwa makamasi, tembea na leso
Habar zenu wakubwa!
Kunakitu kinanitatiza sana kuhusu hv vitambaa au Leso twapenda kuita,kwa nini asilimia kubwa sana wakina dada hupenda kuwa navyo kuliko jinsia Me(kiume)sasa ndo kusema ni usafi wa kujifuta jasho tu,au kuna kazi nyingine kinafanyia hebu tuelimishane hapo,ili nasi tujue wapendwa!
NAWASILISHA
Nina miaka mingi sana sijamiliki leso
Tena zilikuwepo zile za mia tatu, kama taulo hivi
Ila mara nyingi nakuwa na mtandio au kanga in case fire, na mbona sitoki majasho wala sihitaji kujifuta? Unless nafanya mazoezi.
Hebu nikuulize hv kweli ww ni mwanaume au mwanamke?MIMI NIMEWAULIZA WANAWAKE,lakn cha Ajabu dume zima Unashadadia thread zisizo kuhusu sasa ww tukuweke kundi gani?au ni wale wa cameruni nin?kwa sababu wanaume tume2lia tunasubri koment za wadada cha ajabu ww mtoka pabaya unakuja na ubaya wako,ama kweli jina linasadifu yaliyomo,DOGO SOMA KWANZA THREAD NDO UKOMENT,ONA SASA UMESHAOLEWA TAYARI!
Tukutane huko steers mnakotongozania ndio uone kama mimi ni Mdada au MUME HASA.
Huu uzi au ujuha? Eti leso ya nini halafu unajiita mwanaume. Ndio nyinyi mnakanyagiwa wake zenu sababu ya uchafu. Mwanamke ana miaka mi5 hajafika kileleni sababu anakosa hisia kwa sababu ya uchafu wako. Na ningekuwa jirani yako ningekuwa wa kwanza kukugegedea mkeo pimbi wewe.
Usirudi tena kutukana Jinsi yangu kwa asili yako ya uchafu na kukosa ustaarabu. Hao 'wadau' unaowaomba wakusaidie kunijibu ungewaomba wakusaidie kukuelewesha kuwa:
1. Ni aibu na sio ustaarabu kwa mwanaume kupiga chafya bila kufunika mdomo
2. Ni uchafu kuwa na matongotongo au kuyafuta kwa kutumia mikono
3. Wanaume hatufuti mafua na shati tulilovaa kama watoto
4. Kupiga miayo hadharani kama mamba ni uchafu na kero kwa wengine
5. Kutoka mijasho ikakutiririka usoni ni uchafu na sio uanaume.
Uanaume majukumu, sio uchafu. Halafu usinitishie grupu la watu wewe, mwanaume unaomba poo? Jibu hoja sio kukimbilia wadau, ndio nyinyi mnaotupakazia makamasi kwenye viti vya daladala pambaf wewe!
Duh! Ukofresh lakini? Labda kuhusu chafya sa nyingine inaweza kuja pasipo kutarajia- reflex- na ukashindwa kuwai hicho kitambaa chako
mwanaume wa shoka asifiwi usafi anasifisiwa kazii!!!