Kitakachotokea kesho bungeni

Upinzani hawajui tu kuna wakati mkidundana na kutwangana heshima inakuwepo angalia nchi zilizopigana watu wanavyo heshimiana huu uhuru tulioupata kama pipi sometimes umetuharibu ustahimilivu wetu si wa binadamu wa kawaida ni kama kuna kitu tumelishwa vile. Wao wanakinga ya kutoshtakiwa wakisema au kufanya chochote bungeni
 
Mungu yupo upande haijalishi nn facken Lumumba watafanya nn ksh nitakuwa zaidi ya wrote kama nitaendelea kisoma maelekezo yenye chembe za kimungu kama hii
 
mkuu tumeshapigwa.mchanga wa macho. ccm ni wahuni.kesho utayastaabia ya musa.na hikitokea ni bora wabunge wapige kura ya kumwondoa spika.maana hili jambo limevutwa vutwa sana kwa malengo mahususi ya kucheza mchezo uliochezwa leo mahakamani.hili kuwalinda wezi.huku maospital hakuna madawa.

Nami nataka niuone huo ujasiri wa bunge hata baada ya kupewa hayo maamuzi ya mahakama kuu kuendelea na majadiliano ya acc. ya escrow. Nakubaliana na wachangiaji waliosema hii ilikuwa njia ya kuwafariji au kuwapoza wabunge. Pia uelewe zoezi hili likiendeshwa kwa kichwa ngumu tu madhara yanaweza kuwa makubwa kuliko mafanikio. Kwa kuwa bunge likiamua kuwawajibisha wahusika wanaweza kukimbilia mahakamani kwa madai wamewajibishwa isivyo halali na mahakama kuwapa haki. Hata hivyo ikiamuliwa washtakiwe ili pengine wafungwe au warudishe hela zilizoibiwa bado itabidi wafunguliwe kesi mahakamani na itaonekana wameonewa kwani lilishakuwepo zuio kabla ya kuwajibishwa kwao na tayari umeshajengwa uhusiano m-baya baina ya hii mihimili miwili. Mshindi hapo ni waziri mkuu ambae alishatoa tahadhari kwa bunge. Tusubiri tuone na kesho Makinda atakacha hicho kiti chake.
 
hayo ni majibu ya mtu mjinga,mpu.mbavu na asiye na uelewa wowote kichwani. Kwa jibu jepesi ni kwamba mavi yanathamani kubwa kuliko wewe maana hufaa hata kurutubisha mimea. Lakini wewe ni shiiiiiida!

mkuu warioba kasema leo.kuna wana ccm wa aina mbili [1] mccm imani [2] mccm maslahi....:hungry:....:tea:....:bathbaby:....:fish2:....:A S-coffee:....:plane:....:car:....:juggle:....<<<{2} ndio hawa mkuu.
 
Salary slip na wewe si ndiyo kijani mwezangu siku zote unapinga hata jambo la kweli?
 
Nami nataka niuone huo ujasiri wa bunge hata baada ya kupewa hayo maamuzi ya mahakama kuu kuendelea na majadiliano ya acc. ya escrow. Nakubaliana na wachangiaji waliosema hii ilikuwa njia ya kuwafariji au kuwapoza wabunge. Pia uelewe zoezi hili likiendeshwa kwa kichwa ngumu tu madhara yanaweza kuwa makubwa kuliko mafanikio. Kwa kuwa bunge likiamua kuwawajibisha wahusika wanaweza kukimbilia mahakamani kwa madai wamewajibishwa isivyo halali na mahakama kuwapa haki. Hata hivyo ikiamuliwa washtakiwe ili pengine wafungwe au warudishe hela zilizoibiwa bado itabidi wafunguliwe kesi mahakamani na itaonekana wameonewa kwani lilishakuwepo zuio kabla ya kuwajibishwa kwao na tayari umeshajengwa uhusiano m-baya baina ya hii mihimili miwili. Mshindi hapo ni waziri mkuu ambae alishatoa tahadhari kwa bunge. Tusubiri tuone na kesho Makinda atakacha hicho kiti chake.

mkuu hilo la spika naliona.kesho tutegemee [ukawa] kususia tena bunge. na ihi itakua kaburi la chama cha mapinduzi.
 
Naomba niseme tu kuwa sina imani hata kidogo na uongozi wa mihimili yote mitatu ya dola .

Kama huna imani na mihimili mitatu ya dola ina maana huna imani na nchi. Ushauri wangu wa bure kwako ni huu kuwa kama wewe ni mhamiaji haramu ni wakati wako muafaka wa kurudi nchi ulikotoka na kama wewe ni mtanzania ni wakati wako muafaka kutafuta nchi ya kuhamia maruhuni mkubwa wewe.
 
naungana na wewe...maana hata Spika haku mwakikishia Mnyika kama kweli kesho ripot itasomwa.
 
CCM 'imani' ambayo ilibeba dhamana ya Tanu na Asp ilishajifia tangu 1984 wakati wa machafuko ya zenji sasa imebaki CCM 'maslahi' ambayo ndiyo GAMBA lenyewe. Escrow isipojadiliwa kesho GAMBA linaenda kujivua automatically na Tanu itazaliwa upya sina uhakika kuhusu Asp itakuwaje.......!
 
Isipojadiliwa kesho itakuwa ni kuahirisha kifo! ... CCM kama wako makini muda huu watajua madhara ya kuzuia hili sakata ni makubwa kuliko...
 
What? Mtu kasema hana imani na serikali. Kwa nini ahame? Kwani nchi hii Mungu amewapa watu wa serikali tu. Ni arrogance ya namna hii ndiyo inayotupeleka pabaya. The government should answer to the people. Kama haiwatendei haki wananchi kama ilivyo dhahiri kabisa, basi tukae kimya au tuhame nchi. Have you taken leave of your sense?

Hama nchi kama Huna Imani na chi yako
 
ushauri;makamanda kama kawaida ukawa naomba kama spika atazima hoja hii madhubuti dawa ni kutoka bungeni na mje kwa wananchi zungukeni nchi nzima kuwaelimisha watu kuhusu escrow na kuwaambia wananchi waizike ccm rasmi uchaguzi serikali za mitaa wametuchosha ccm

Wananchi hawaamini UKAWA hawatakubali kuacha kukipigia kura CCM
 
Back
Top Bottom