Lord Lofa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2011
- 2,359
- 2,315
Upinzani hawajui tu kuna wakati mkidundana na kutwangana heshima inakuwepo angalia nchi zilizopigana watu wanavyo heshimiana huu uhuru tulioupata kama pipi sometimes umetuharibu ustahimilivu wetu si wa binadamu wa kawaida ni kama kuna kitu tumelishwa vile. Wao wanakinga ya kutoshtakiwa wakisema au kufanya chochote bungeni