inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,740
- 22,490
sala ya hija ndo ipoje!?Mwisho wa siku sala ya hija itakuwa inafanyikia Dodoma.🙂🙂🙂🙂🙂
sala ya hija ndo ipoje!?Mwisho wa siku sala ya hija itakuwa inafanyikia Dodoma.🙂🙂🙂🙂🙂
Hiyohiyo unayoijengea picha kichwani.sala ya hija ndo ipoje!?
Uzuri wa Kufa Hakuchagui Sisi 2naweza 2katangulia 2 Nawao Lazma Watufuate Maana Hakuna NamnaBora watengeneze magonjwa yanayohua watu kwa haraka ili sisi waafrika tuwe bussy na mazishi? Maana USA anatusaidia alafu tunaleta dharau. Bara la Africa lipunguze idadi ya watu kwanza akili zitukae sawa, hata apa mtandaoni hapatakalika
IRAN Mwenyewe Alishatangaza Labda US Atumie Zilaha za SUMU Ama ATOMIC Maana Zimekatazwa Nasera Zao Zinakataza Hata Kumiliki hizo mamboKwamba iran ananini labda? Ama unataka kutuambia irani anasilaha kali kuliko marekani? A time will tell. Ipo siku iran atafanywa kama japan
Hii link sija ifungua na sitaifungua mkuu hakuna mwaka ISRAEL Kashambulia vinu vya NYUKLIA Vya IRAN Kabla Na Baada Ya 1979 labda kwa njia Isio yakijeshi
wakati wote wa vita hivyo marekani ilikuwa ikiiuzia siraha iran, iraq ilikuwa ikipata siraha zake kutoka soviet union.Labda useme kuwa US alikua akifanya biashara ya silaha lakini sio kumsapoti Iran.
Kuna ku support na kufanya biashara mkuu.
Iraq ilikua inapata support ya silaha nzitto mpk za sumu kutoka USA,France bila hata ya kudaiwa.
Inamaana Iran alikua akinunua mweziwe akipewa bure .
Nani alikua akisapotiwa kati ya Iraq na Iran km muktadha ndio huo?
wakati wote wa vita hivyo marekani ilikuwa ikiiuzia siraha iran, iraq ilikuwa ikipata siraha zake kutoka soviet union.
kuwa makini na taarifa unazopitia mitandaoni na hata unazosoma kutoka kwenye vitabu, kuna alot of disinformation.Mkuu ukiwa na ugomvi na viongozi wa nchi husika tayari una ugomvi na nchi pia.
Kwahyo mitandaoni tunadanganywa kuwa Iraq imesaidiwa na USA?
Hii kitu mkuu sikubaliani nayo.
Kwasababu toka 1979 US ilikua inataka kufanya regime change Iran.
Na asingeweza kumsaidia Iran kwasababu alipenda aanguke ili lengo lake la regime change litimie.
Ndio maana amekuambia,mlisema maneno kama hayo kipindi hicho Iraq. Baadae mkabaki mnambwelambwela tu. Usifikiri kitendo cha USA kutoingia vitani ni kuogopa. Kwanza lazima ujue vita sio lelemama. Kuna wananchi wasio na hatia watauawa,kwa kuzingatia hilo USA wanajaribu kwenda kwenye muafaka kwa mazungumzo bila kuingia vitani. Lakini hako kajinga (iran) kanajaribu kutafuta sifa kwa kutest tu-nyukiria twake kwa USA ili kawe juu. Nakuambia kataipata fresh kama Iraq. Hukumbuki Saadam nae alikuwa anajitapata sana. (Hata nyie wapambe wake mkaingizwa chaka kama hivi sasa kwa Iran anavyowaingiza chaka). Ukizingatia vita vitapiganwa kwenye ardhi yake. Hawana ujanja wa kuihamishia hiyo vita USA. The time will tellNdugu yangu Iran ni taifa lenye uwezo mkubwa sana na ndio maana huyo marekani ana sita kwa sababu anajua madhara ya kuingia vitani na Iran.
Kwahiyo we we usijifanye una akili kuliko viongozi wa Marekani.
Interests za USA Iraq nyakati hizo zilikuwa ni kuzuia expansion ya Soviet Union, wamarekani hawakuwa na interest ingine pale sababu hata mafuta tu walikuwa nayo kidogo sana.Mkuu hiyo report hapo nimetoa ktk vyenzo vya habari vya US vyenyewe vikisema Iraq alipata support kutoka kwa US,Uk,France na USSR.
Na kuhusu Iran ninaweza kukubaliana nawe huwenda alikua anauziwa silaha.
Mazungumzo ya US na IRAN Yahusiane NaniniNdio maana amekuambia,mlisema maneno kama hayo kipindi hicho Iraq. Baadae mkabaki mnambwelambwela tu. Usifikiri kitendo cha USA kutoingia vitani ni kuogopa. Kwanza lazima ujue vita sio lelemama. Kuna wananchi wasio na hatia watauawa,kwa kuzingatia hilo USA wanajaribu kwenda kwenye muafaka kwa mazungumzo bila kuingia vitani. Lakini hako kajinga (iran) kanajaribu kutafuta sifa kwa kutest tu-nyukiria twake kwa USA ili kawe juu. Nakuambia kataipata fresh kama Iraq. Hukumbuki Saadam nae alikuwa anajitapata sana. (Hata nyie wapambe wake mkaingizwa chaka kama hivi sasa kwa Iran anavyowaingiza chaka). Ukizingatia vita vitapiganwa kwenye ardhi yake. Hawana ujanja wa kuihamishia hiyo vita USA. The time will tell
Kwahiyo marekani nao watakubali kupigwa tu? Irani kiteknolojia bado ipo chini sana usiifananishe na marekani mkuu.Ipo siku isiyo na jina yatatumika tu na nakuombea kwa mungu Kama utakua umeshakufa ufufuke japo kwa dkk 1 ushuhudie afu ufe tena
Hana bando huyo mzee wa freebasics
Sijamaaniaha Iran iipige USA hata Russia wanaweza itandika au Nchi yoyoteKwahiyo marekani nao watakubali kupigwa tu? Irani kiteknolojia bado ipo chini sana usiifananishe na marekani mkuu.
Kwel ujakosea kbx kiongoz yule iran bado yuko chini kiteknolojia hawez kumshnd marekani.na watu wamekarr kwa maan hawajawah kumskia marekani ak test nyuklia zake au wameshasahau walchokpta japan kwny miak ya 1940s mpk miaka ya nyuma watu walkuwa wanazaliwa na ulemavuKwahiyo marekani nao watakubali kupigwa tu? Irani kiteknolojia bado ipo chini sana usiifananishe na marekani mkuu.
Wampige sasa kama wakochini wako juu hio hatutaki kujuaKwel ujakosea kbx kiongoz yule iran bado yuko chini kiteknolojia hawez kumshnd marekani.na watu wamekarr kwa maan hawajawah kumskia marekani ak test nyuklia zake au wameshasahau walchokpta japan kwny miak ya 1940s mpk miaka ya nyuma watu walkuwa wanazaliwa na ulemavu





Muda utaongea tu ww 2lia ushuhudie sio unaon n rahs kuandaa vta kama ww unavyodhania huo sio ushabk kama wa smba na yanga hayo n mataifa mawili ambayo kla m1 anaangalia madhara kama kukwepo na vtaWampige sasa kama wakochini wako juu hio hatutaki kujua
2nachotaka kujua nikwanini toka mwaka 1979 mpaka ss hajampiga ama anampiga kwa vikwazo 2![]()
Marekani wa enzi za George Bush sio Marekani wa DT. USA akithubutu kupeleka pua yake Iran ndio utakuwa mwisho wake.
Ukweli ndio ni kama wananchi wa Libya walivyokuwa hawapendi utawala wa Muammary GhadaffCha kumfurahisha raia wengi waIran wanatamani wamarekani waanzishe vita. Asilimia kubwa ya raia hususan vijana hawaipendi kabisa serikali na utawala wa Ayatollah. Kama vita itaanza serikali ya Ayatollah itapata mashambulizi hata kutoka kwa raia wake
Kwa iyo walivyolipua pale kwy kituo cha mafuta Saudia ni sahihiItategemea maslahi ya china na urusi, wasije kutengeneza vita ya dunia au kuendelea kuvuruga utulivu eneo zima la mashariki ya kati