Kitachompata Iran, kitaweka Historia

Kitachompata Iran, kitaweka Historia

Ndugu yangu Iran ni taifa lenye uwezo mkubwa sana na ndio maana huyo marekani ana sita kwa sababu anajua madhara ya kuingia vitani na Iran.
Kwahiyo we we usijifanye una akili kuliko viongozi wa Marekani.
Acha ndoto za alinacha, Iran alisimamishwa na Iraq miaka nane na hakuna alichofanya mpaka UN walipoingilia kati, na ni jirani pua na mdomo.

Na hapa wala hakuna ishu ya Iran na Marekani maana hata hawana ujirani, kikubwa anachosita Marekani au hata kushauriwa na wengine ni vurugu ya Iran kwa jirani zake...hapa Marekani analazimika kuwafikiria hao jirani wa Iran, au la yeye ndio atalazimika kuwalinda/wasaidia.

Hata hiyo Nuclear inayohofiwa wala haitofika Marekani, zaidi ni wale majirani zake ndio watakuwa Wahanga.
 
Mmmh mkuuu hii chai ya moto sana.
USA alikua anamsapoti Iraq mkuu hapa umetereza vikubwa vya kutereza.
USA alikua akimdhamini silaha Iraq wala sio Iran.
Iran ilikua isolated kupewa misaada.
Mkuu ktk hili umetereza.
Sio tu USA alikuwa upande wa Iran bali Israel pia.
 
Mkuu umetereza sana.
Umetereza.
USA alikua upande wa Iraq.
Iran haikupata msaada wowote kaka.
Kapekue tena historia ya hii vita .
unatumia basis gani?

Unaelewa scandal ya Rais Reagan alimaarufu Irangate ilihusu nini? unajua alichokieleza Rais Reagan siku ya tarehe 13, November 1986 kuhusu hiyo scandal na mahusiano yake na vita kati ya Iran na Iraq.

Narudia.
USA na Israel zilikuwa upande wa Iran wakati wa vita kati ya Iran na Iraq.

katika siku hizo waziri mkuu wa Israel Yitzhak Rabin alipata kusema "Israel is Iran's best friend, and we do not intend to change our position"

nadhani unatumia kioo cha mahusiano mabovu ya mataifa haya matatu leo, kutafsiri uhalisia wa historia husika. You are very wrong.
 
unatumia basis gani?

Unaelewa scandal ya Rais Reagan alimaarufu Irangate ilihusu nini? unajua alichokieleza Rais Reagan siku ya tarehe 13, November 1986 kuhusu hiyo scandal na mahusiano yake na vita kati ya Iran na Iraq.

Narudia.
USA na Israel zilikuwa upande wa Iran wakati wa vita kati ya Iran na Iraq.

katika siku hizo waziri mkuu wa Israel Yitzhak Rabin alipata kusema "Israel is Iran's best friend, and we do not intend to change our position"

nadhani unatumia kioo cha mahusiano mabovu ya mataifa haya matatu leo, kutafsiri uhalisia wa historia husika. You are very wrong.
Although Iraq hoped to take advantage of Iran's post-revolutionary chaos, it made limited progress and was quickly repelled; Iran regained virtually all lost territory by June 1982. For the next six years, Iran was on the offensive [55] until near the end of the war. [50] There were a number of proxy forces —most notably the People's Mujahedin of Iran siding with Iraq and the Iraqi Kurdish militias of the KDP and PUK siding with Iran. The United States, Britain, the Soviet Union , France , and most Arab countries provided political and logistic support for Iraq, while Iran was largely isolated.

Mkuu nipe maelezo hapa.
 
Although Iraq hoped to take advantage of Iran's post-revolutionary chaos, it made limited progress and was quickly repelled; Iran regained virtually all lost territory by June 1982. For the next six years, Iran was on the offensive [55] until near the end of the war. [50] There were a number of proxy forces —most notably the People's Mujahedin of Iran siding with Iraq and the Iraqi Kurdish militias of the KDP and PUK siding with Iran. The United States, Britain, the Soviet Union , France , and most Arab countries provided political and logistic support for Iraq, while Iran was largely isolated.

Mkuu nipe maelezo hapa.
sitakupa maneno yangu.

baada ya kupinduliwa saddam, some recordings zilipatikana kutoka ikulu yake, moja ya mazungumzo yao yako hapa, enda hapo alafu urudi.
Saddam anaongea na Tariq Aziz na some other guys.
 
Niwakati ambao China anavuguvugu la mageuzi, ni wakati ambao Russia ipo busy na uchaguzi, ni wakati ambao Misri kuna vuguvugu la mageuzi, ni wakati ambao ..... (Jazia kama war technical upo angalau).
 
Hao Houthi rebels wapo backed na Iran na wala sio siri. As such, Iran inaweza kuwa inawauzia parts flaniflani au full military equipments. Hivyo sio ajabu kuona yale mabaki ya drones yana parts kutoka Iran. Ni sawasawa na kuokota mabaki ya makombora hukoo Yemeni au Syria yenye label za Russia au USA na hiyo sio evidence eti Russia ndio imehusika kuyarusha.

Hizi kelele za USA ni aibu tu na fedheha baada ya kushindwa kuzuia drones kutoka kwa local rebels.
 
Acha ndoto za alinacha, Iran alisimamishwa na Iraq miaka nane na hakuna alichofanya mpaka UN walipoingilia kati, na ni jirani pua na mdomo.

Na hapa wala hakuna ishu ya Iran na Marekani maana hata hawana ujirani, kikubwa anachosita Marekani au hata kushauriwa na wengine ni vurugu ya Iran kwa jirani zake...hapa Marekani analazimika kuwafikiria hao jirani wa Iran, au la yeye ndio atalazimika kuwalinda/wasaidia.

Hata hiyo Nuclear inayohofiwa wala haitofika Marekani, zaidi ni wale majirani zake ndio watakuwa Wahanga.
Angewahofia majiran wakat alipoivamia IRAQ Isisahaulike wakat US Anaivamia IRAQ, IRAQ Ilikua Ipo Kwenye Migogoro Na KUWAIT

Na US Alieka Kambi KUWAIT Ili amtandike Vyema IRAQ na IRAQ Akatandikwa na Ikumbukwe Be4 Mgogoro IRAQ Na US Walikua M2 Nashoga Yake

US Anachokiogopa IRAN Nikipigo 2 Hakuna Chengne
 
unatumia basis gani?

Unaelewa scandal ya Rais Reagan alimaarufu Irangate ilihusu nini? unajua alichokieleza Rais Reagan siku ya tarehe 13, November 1986 kuhusu hiyo scandal na mahusiano yake na vita kati ya Iran na Iraq.

Narudia.
USA na Israel zilikuwa upande wa Iran wakati wa vita kati ya Iran na Iraq.

katika siku hizo waziri mkuu wa Israel Yitzhak Rabin alipata kusema "Israel is Iran's best friend, and we do not intend to change our position"

nadhani unatumia kioo cha mahusiano mabovu ya mataifa haya matatu leo, kutafsiri uhalisia wa historia husika. You are very wrong.
Hayupo wrong 7bu mahusiano ya US Na IRAN Hayakuanza Kuharibiwa na Vita Ya IRAN na IRAQ

Bali Yaliharibiwa mwaka 1979
 
Hao Houthi rebels wapo backed na Iran na wala sio siri. As such, Iran inaweza kuwa inawauzia parts flaniflani au full military equipment. Hivyo sio ajabu kuona yale mabaki ya drones yana parts kutoka Iran. Ni sawasawa na kuokota mabaki ya makombora hukpo Yemeni au Syria yenye label za Russia au USA na hiyo so evidence eti Russia ndio imehusika kuyarusha.

Hizi kelele za USA ni aibu tu na fedheha baada ya kushindwa kuzia drones kutoka kwa local rebels.
Ukumbuke hao houthi walichukua serikali ya yemeni kiubabe, na lengo la Iran ikiwa niwakalia Saudia na UAE kooni,
upande mwingine Iran inawafadhili Hezborah kwa lengo la kuifuta Israel, na kwenye ugomvi wa Saudia na houthi tayari Hezborah nae kaanza kujiingiza.

Haya mazingira yanatosha kabisa kujustify mashambulizi dhidi ya Iran.
 
Hayupo wrong 7bu mahusiano ya US Na IRAN Hayakuanza Kuharibiwa na Vita Ya IRAN na IRAQ

Bali Yaliharibiwa mwaka 1979
Naanza kuona ufinyu wa mawazo yako sasa. Marekani haina ugomvi na Taifa la Iran, Marekani inataka kuwa karibu na Irani kuliko hata ilivyo na Detroit.

Marekani ina ugomvi na viongozi wa Iran wasiotaka kuiacha ifanye inavyotaka nchini humo.

Baada ya Mapinduzi ya mwaka 1979 hicho unachodhani kama uhasama uliotokea ni upotoshaji, marekani na Iran ziliendelea kushirikiana kwa marekani kuiuzia Iran siraha na kuipa misaada mbalimbali iliyowasaidia vitani na Iraq only that hawajawahi kupata wanachokitaka mpaka sasa.
 
Nikuusema ukweli kwasababu inajulikana wakat wavita hizo US Alikua Upande Gani
Marekani ilikuwa inauzia siraha Iran kupitia Israel wakati wote wa vita kati ya Iran na Iraq mpaka siri hiyo ilipokuja kuvuja mwishoni mwa mwaka 1986.
 
Naanza kuona ufinyu wa mawazo yako sasa. Marekani haina ugomvi na Taifa la Iran, Marekani inataka kuwa karibu na Irani kuliko hata ilivyo na Detroit.

Marekani ina ugomvi na viongozi wa Iran wasiotaka kuiacha ifanye inavyotaka nchini humo.

Baada ya Mapinduzi ya mwaka 1979 hicho unachodhani kama uhasama uliotokea ni upotoshaji, marekani na Iran ziliendelea kushirikiana kwa marekani kuiuzia Iran siraha na kuipa misaada mbalimbali iliyowasaidia vitani na Iraq only that hawajawahi kupata wanachokitaka mpaka sasa.
Kwa hayo unayo yaandika inaonesha wewe ni mweupe kabisa wa siasa za mashariki ya kati.
 
Kwa hayo unayo yaandika inaonesha wewe ni mweupe kabisa wa siasa za mashariki ya kati.
hayo maneno ya kujifariji ya mtu aliyehishiwa hoja hayana mahusiano na ufahamu wangu wa ninachoandika ama kuhifunza hapa.

wewe uliyejaza nyama kichwani ulitakiwa ushushe nondo.

remember

this is JF
 
Angewahofia majiran wakat alipoivamia IRAQ Isisahaulike wakat US Anaivamia IRAQ, IRAQ Ilikua Ipo Kwenye Migogoro Na KUWAIT

Na US Alieka Kambi KUWAIT Ili amtandike Vyema IRAQ na IRAQ Akatandikwa na Ikumbukwe Be4 Mgogoro IRAQ Na US Walikua M2 Nashoga Yake

US Anachokiogopa IRAN Nikipigo 2 Hakuna Chengne
Ndugu hebu rudi kwenye Geographia, Iran wanapiganaje na US?

Huyo US mwenyewe analazimika kujongea na vitendea kazi vyake aje jirani na Iran, ikimaanisha nao Iran watalazimika kufanya hivyo ili waifikie US.

Tofauti na US na UK, Iran akiwa na tatizo na US au UK atapambana na jirani yake yeyote anayedhani ni rafiki wa US au UK..na hapa target itakuwa Israel, Saud n.k, na kumbuka Iran anafadhili vikundi kadhaa vya kigaidi hivyo atahujumu maslahi ya US au UK popote pale magaidi hao watakapofikia...hata TZ mtakumbwa na hilo kwani wale hawajali, hata mkifa Watanzania mia moja nao wakampata Mmarekani au Muingereza mmoja.
 
Ndugu hebu rudi kwenye Geographia, Iran wanapiganaje na US?

Huyo US mwenyewe analazimika kujongea na vitendea kazi vyake aje jirani na Iran, ikimaanisha nao Iran watalazimika kufanya hivyo ili waifikie US.

Tofauti na US na UK, Iran akiwa na tatizo na US au UK atapambana na jirani yake yeyote anayedhani ni rafiki wa US au UK..na hapa target itakuwa Israel, Saud n.k, na kumbuka Iran anafadhili vikundi kadhaa vya kigaidi hivyo atahujumu maslahi ya US au UK popote pale magaidi hao watakapofikia...hata TZ mtakumbwa na hilo kwani wale hawajali, hata mkifa Watanzania mia moja nao wakampata Mmarekani au Muingereza mmoja.
Kwanza naomba nikwambie mkuu dunia yasasa wala haihitajii kua karibu na fulani ndio umpige kuna silaha nyingi zinazoweza toka US 2 IRAN

Pili US Kusogeza kambi za kijeshi na vifaa vyake pia inawezekana na ndio options nzri sana kwake

Maana vita zote hapo mido ist alipiganwa hvyo hvyo si IRAQ LIBYA AFGHANISTAN

Na IRAN Wala hata deal na Maslahi ya US Mido Ist Atakachojali yeye Kudeal nasehem ambazo anaona anapigwa toka mashariki yakati na kwenginepo ambapo anahisi anaweza kpafikia

IRAN Hajawahi Kusapoti Magaidi Kijana
 
Back
Top Bottom