Carter,Reagan,Bush,Obama,Trump wote Iran wameiandama but null results.Bush Iraq,
Obama Libya,
Trumpet Iran.
Hivi wewe hauoni Elungata anavyoelezea mpaka uswahiba wa Iran na Marekani katika kuamua nani anakua Rais wa MarekaniMkuu.
Ebu kamsome vema mmarekani nadhani humtambui vema.
Kabla ya hayo makubaliano 2015 je Obama alikua na uswahiba na Rouhani ?!!
Jibu laaah.
Obama mwaka 2011 alipeleka drone nne Iran kwa lengo lake baya lakini zikashushwa.
Akapeleka makomando wanamaji Iran wakakamatwa kabla hawajafanya uvamizi wa siri.
Je hivi ndivyo mataifa yanayokua na uswahiba yalivyo?!
Baada ya kuona ameshindwa kuiingia Iran huyo Obama wako akaona bora waingie mikataba ya amani sasa ya JCPOA.
Lakini kabla ya hapo walikua na uhasama vema tu.
US ana sera yake ya "no permanent friend no permanent enemy".
Yani hatokua rafiki wako wa kudumu na hatokua adui wako wa kudumu.
US ukifanya anavyotaka basi utakua na amani,yani atataka akuendeshe anyonye maliasili zako km wanavyofanyiwa hayo mataifa ulioyataja.
Lakini ukijielewa na kupingana nao umekwisha.
Nchi nyingi Afghanistan,Pakistan,Iraq kaziharibu yeye.
Hao Oman,Saudiarabia siku zao zinahesabika.
Halafu kama US ana ugomvi na kiongozi peke ake basi asingeiharibu Syria na Iraq kama vile.
Ukiwa na chuki kwa kiongozi wa taifa lenye kushikamana basi unalichukia ama una ugomvi na taifa zima.
kwani wapi nimesema hakupata collabo. angalia maelezo ya kina ya Elungata, kwamba Marekani lengo lake kuu ilikuwa kukomboa mateka wake, na hata biashara yake ya siraha na irani ilikuwa ya siri, Elungata hajaelezea tu kwamba usiri huo uliwezekana sababu siraha zilikuwa zinafanywa kama vile zinauzwa israel kumbe zinauzwa iran. maana ake hata Israel ambaye leo Iran wanasema wanataka kumfuta kutoka uso wa dunia, nae alishakuwa swahiba mkubwa wa wairan.Umebadilisha sasa kaka!?
Ulikua ukisema Iran alipata collabo US ndipo nilipokua nakinzana nawe.
Nimemuelewa.Hivi wewe hauoni Elungata anavyoelezea mpaka uswahiba wa Iran na Marekani katika kuamua nani anakua Rais wa Marekani
Mkuu unajichanganya sana.kwani wapi nimesema hakupata collabo. angalia maelezo ya kina ya Elungata, kwamba Marekani lengo lake kuu ilikuwa kukomboa mateka wake, na hata biashara yake ya siraha na irani ilikuwa ya siri, Elungata hajaelezea tu kwamba usiri huo uliwezekana sababu siraha zilikuwa zinafanywa kama vile zinauzwa israel kumbe zinauzwa iran. maana ake hata Israel ambaye leo Iran wanasema wanataka kumfuta kutoka uso wa dunia, nae alishakuwa swahiba mkubwa wa wairan.
haya mambo ya hapo mashariki ya kati, na siasa na mahusiano ya hizo nchi tunazosema zimeendelea ni mambo ya kimaslahi, tena maslahi ya watu fulani fulani binafsi lakini sisi tumepofushwa na kudhani ni mambo ya kimataifa.
Sawa, na conclusion ndo inakuwa kwambaaaaaaa, uhasama unasababishwa na mitazamo ya marais kutokuwa aligned tu. sio maswala ya kitaifa.Nimemuelewa.
Hivi haujui km kuna flicking imechezeka hapo kwa Iran kumtumia Rafsanjan?!!
Mkuu unakwama wapi!!??
sasa kwa nini uziite ni uadui?Mkuu unajichanganya sana.
Mm nimesema napinga ww unasema kuwa ulisema .
Halafu alichoelezea Elungata ni michezo ilifanyika wala sio uswahiba bali ni flicking zimefanyika,hio huwezi ita ujamaa.
Bro maswahiba hawafanyiani fricks kabbisa.sasa kwa nini uziite ni uadui?
Kwamaelezo ya elungata soma vyema uelewe mkuukwani wapi nimesema hakupata collabo. angalia maelezo ya kina ya Elungata, kwamba Marekani lengo lake kuu ilikuwa kukomboa mateka wake, na hata biashara yake ya siraha na irani ilikuwa ya siri, Elungata hajaelezea tu kwamba usiri huo uliwezekana sababu siraha zilikuwa zinafanywa kama vile zinauzwa israel kumbe zinauzwa iran. maana ake hata Israel ambaye leo Iran wanasema wanataka kumfuta kutoka uso wa dunia, nae alishakuwa swahiba mkubwa wa wairan.
haya mambo ya hapo mashariki ya kati, na siasa na mahusiano ya hizo nchi tunazosema zimeendelea ni mambo ya kimaslahi, tena maslahi ya watu fulani fulani binafsi lakini sisi tumepofushwa na kudhani ni mambo ya kimataifa.
Kweli kaka USA alikua upande wa kuishambulia iranVita vya Irani na Iraq, USA alikuwa upande wa Iran.
Ndio maana nimesema kaka hapo imetumika fricking.Kwamaelezo ya elungata soma vyema uelewe mkuu
Jama kaelezea as if IRAN Waliipiga kikumbo US Kwasuala zima lakijasusi
Sio kama walikua na uswahiba wakwel
ni ngumu sana iran kujibu moja kwa moja kuipiga israel,kumbuka hivi ni vita vya proxy kumaintain denial,tuchukue mfano wa syria,iran anamantain kuwa hana askari syria zaidi ya military adviser,lakini ni wazi kuwa kuna wanamgambo wa iran syria,pili mashambulizi mengi ya israel ukiachilia moja lengo huwa kuharibu miundo mbinu ya iran militias,mwaka juzi au jana israel walishambulia syria wakaua ofisa wa kijeshi wa iran pamoja na mtoto wa mughniya,hezbollah ndani ya siku tatu walishambulia israel na kulipua jeep kwa ATGM, mashambulizi dhidi ya syria army,Assad alishaamua kuya absorb as long as hayana madhara kivile,syria iko busy idlibIran halali usingizi kwa ajilii ya Israeli mbabe wake anayemtwanga lakini yeye airan anajibu kwa vitisho tu !
ni ngumu sana iran kujibu moja kwa moja kuipiga israel,kumbuka hivi ni vita vya proxy kumaintain denial,tuchukue mfano wa syria,iran anamantain kuwa hana askari syria zaidi ya military adviser,lakini ni wazi kuwa kuna wanamgambo wa iran syria,pili mashambulizi mengi ya israel ukiachilia moja lengo huwa kuharibu miundo mbinu ya iran militias,mwaka juzi au jana israel walishambulia syria wakaua ofisa wa kijeshi wa iran pamoja na mtoto wa mughniya,hezbollah ndani ya siku tatu walishambulia israel na kulipua jeep kwa ATGM, mashambulizi dhidi ya syria army,Assad alishaamua kuya absorb as long as hayana madhara kivile,syria iko busy idlib
Maaana ya kushinda ndio nn? Mfano Japanese mpaka wanapigwa nyuklia alishinda nani, libya mpaka Gaddaff anakufa alishinda nani?, Iraq mpaka anakufa Saddam kwa kunyongwa alishinda nani?, Afghanistan mpaka Osama anakufa kashinda nani?, Urussi anawekewa vikwazo vya kiuchumi mpaka uchumi wake unashindwa tanuka nani kashinda vita ya kiuchumi, China anabananishwa na Huwaei na anasanda mpaka projects 5G haijulikaniki tena nani mshindi,
Ugali Maharagwe umeharibu akili za watanzania
Nimesoma uchambuzi wako imebid nicheke!,Infact Bado tuna mengi ya kujifunza.Carter,Reagan,Bush,Obama,Trump wote Iran wameiandama but null results.
Yeah buddah we cheka tu lakini huo ndio uhalisia.Nimesoma uchambuzi wako imebid nicheke!,Infact Bado tuna mengi ya kujifunza.