LACK
Senior Member
- Aug 1, 2013
- 129
- 43
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu, nimetunga kitabu cha riwaya ya Kiswahili. kinaitwa 'Hii ni Dunia' ninaomba mawazo yenu namna ya kuchapisha kitabu hicho na namna ninavyoweza kupata udhamini juu ya uchapishaji wa kitabu hicho. ni kitabu kizuri chenye mafunzo ya muhimu kwa jamii yetu.