The golden
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 1,383
- 2,586
Wakuu nawasalimu;
Nafahamu humu kuna wasomaji wakubwa wa vitabu. Na ni ukweli kuwa vitabu vina maarifa mengi Sana yanayoweza kabisa kubadili maisha ya mtu. Hivyo basi naomba tuweke hapa vitabu vilivyobadili maisha yetu. Mimi naanza na " The power of subconscious mind " by Dr Joseph Murphy.
Nafahamu humu kuna wasomaji wakubwa wa vitabu. Na ni ukweli kuwa vitabu vina maarifa mengi Sana yanayoweza kabisa kubadili maisha ya mtu. Hivyo basi naomba tuweke hapa vitabu vilivyobadili maisha yetu. Mimi naanza na " The power of subconscious mind " by Dr Joseph Murphy.