Kitabu gani nisome, Kitabu gani wasoma?

Kitabu gani nisome, Kitabu gani wasoma?

Ozzanne Issakwisa

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2016
Posts
288
Reaction score
241
Salamu Wapenzi wa Vitabu!!

Hapa twaweza jadiliana kuhusu vitabu ambavyo tumeshavisoma, na tunavisoma kwa sasa na kisha kuvipa maksi (alama) (kati ya 5).

Hii ni kutufanya tupende kujisomea.

Nitaanza mimi.

Sasa nasoma: Genesis: Beginning and Blessing by R. Kent Hughes (Kitabu cha Kidini, kinazungumzia Kitabu cha MWANZO cha BIBLIA).

Nimesoma karibuni: The 21 Irrefutable Laws of Leadership Book by John C. Maxwell - 4/5 (Kinahusu Kanuni za Uongozi)
 
nitakipatateje hicho cha genesis blessing
 
1.Why Men don't listen and women can't read maps[Non-fiction, Allen & Barbara Pease].

2.Possible Worlds [Non-fiction,Raymond Bradely &Norman Swartz].

3.Big ideas simply explained[Non-fiction]

4.Nelson Mandela [Non-fiction, Elleke Boehmer].

5.Novel za Connie Mason.

Hivi ndio vitabu nilivyosoma mwaka huu.
 
Kwa leo nashauri hivi viwili:

1. We Need New Names by NoViolet Bulawayo - kinachekesha sana na pia kina uhalisia wa hali ya juu.Hutaacha kufananisha maisha yako na ya muhusika mkuu.

2. A Long Way Gone by Ishmael Beah - utaelewa umuhimu wa amani tuliyonayo leo hii.
 
1: Catch me if you can
Kinazungumzia maisha ya tapeli mkubwa kupata kutokea Mr. Abagnale

2: Question and Answers
Kinazungumzia kijana aliyeweza kujibu maswali yote kwa usahihi katika shindano akakamatwa na askari ili kujua alijuaje majibu yote.

3: Accidental apprentice
Tajiri mkubwa anampa mitihani msichana ili akifaulu amrithishe kampuni yake.

4: Six suspects
Mtoto wa tajiri mkubwa anamuua msichana klabu baada ya msichana kugoma kumuuzia bia muda wa klabu kufungwa huyu mtoto mahakama inamkuta hana hatia lakini siku ya kushereheka kuachiwa na yeye anauawa, msako wa mle ndani unakamata watu sita wakiwa na bunduki kila mmoja akiwa na sababu zake.

5: The appeal
Kampuni kubwa inachangia familia nyingi kupata magonjwa ya kansa, inafikishwa mahakamani na kuamriwa kumlipa mwathirika mmoja kwa kuhofia kumlipa yule kutawaleta wengine wanakata rufaa.

6: The lost girls
Wakili anarudi mkoa aliowahi kuishi utotoni ili kumtetea mwanaume anayetuhumiwa kuua binti wa eneo hilo.

7: Yellow kid weil autobiography
Inazungumzia maisha ya tapeli mkubwa anayesemekana kuiba karibia 8m $.

8: Memoirs of Rakehell
Inazungumzia adventures za kijana wa kizungu enzi za zama za Victoria.
 
1: Catch me if you can
Kinazungumzia maisha ya tapeli mkubwa kupata kutokea Mr. Abagnale

2: Question and Answers
Kinazungumzia kijana aliyeweza kujibu maswali yote kwa usahihi katika shindano akakamatwa na askari ili kujua alijuaje majibu yote.

3: Accidental apprentice
Tajiri mkubwa anampa mitihani msichana ili akifaulu amrithishe kampuni yake.

4: Six suspects
Mtoto wa tajiri mkubwa anamuua msichana klabu baada ya msichana kugoma kumuuzia bia muda wa klabu kufungwa huyu mtoto mahakama inamkuta hana hatia lakini siku ya kushereheka kuachiwa na yeye anauawa, msako wa mle ndani unakamata watu sita wakiwa na bunduki kila mmoja akiwa na sababu zake.

5: The appeal
Kampuni kubwa inachangia familia nyingi kupata magonjwa ya kansa, inafikishwa mahakamani na kuamriwa kumlipa mwathirika mmoja kwa kuhofia kumlipa yule kutawaleta wengine wanakata rufaa.

6: The lost girls
Wakili anarudi mkoa aliowahi kuishi utotoni ili kumtetea mwanaume anayetuhumiwa kuua binti wa eneo hilo.

7: Yellow kid weil autobiography
Inazungumzia maisha ya tapeli mkubwa anayesemekana kuiba karibia 8m $.

8: Memoirs of Rakehell
Inazungumzia adventures za kijana wa kizungu enzi za zama za Victoria.

I really like ur list Mkuu.
I'm wondered to get a softcopy of Catch Me If You Can.
 
Wapendwa karibu vitabu vyote vimenitia hamasa ya kuvisoma jitahidini angalau mwuweke soft copy
 
Mimi nasoma: YOU can HEAL Your Life. ni cha Louise Hay.
Anaongelea sana Jinsi ya kujitambua/ufaham na kuelewa maana ya maisha na mapito.
Where can I get a soft copy of it? Sara.... Kununua hali ya uchumi sio rafiki.
 
Salamu Wapenzi wa Vitabu!!

Hapa twaweza jadiliana kuhusu vitabu ambavyo tumeshavisoma, na tunavisoma kwa sasa na kisha kuvipa maksi (alama) (kati ya 5).

Hii ni kutufanya tupende kujisomea.

Nitaanza mimi.

Sasa nasoma: Genesis: Beginning and Blessing by R. Kent Hughes (Kitabu cha Kidini, kinazungumzia Kitabu cha MWANZO cha BIBLIA).

Nimesoma karibuni: The 21 Irrefutable Laws of Leadership Book by John C. Maxwell - 4/5 (Kinahusu Kanuni za Uongozi)
soma Bibilia upate maarifa
 
Back
Top Bottom