Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

BIBLIA ni kitabu pekee kilichnbadili na kinaendelea kubadili maisha yangu kila ningpoendelea kukisoma. Jaribu na wewe.
 
The book tittled "THINK BIG" by Ben Carson (MD&Professor of neurosurgery)
Hiki ni mwanzo mwisho, kama unataka kubadili maisha yako kitafute na ukisome
 
Magazetu ya Mwana Halisi yalikuwa yanahbari zinazobadilisha maisha ya wengi
 
Jinsi ya kukamata mzunguko wa pesa.
Nguvu ya maombi ya rehema.
Vitabu hivi vimenibadilisha sana na hata uchumi wangu.
Mwandishi ni NABII BG MALISA
 
Animal Farm cha George Orwell! Kinaweka bayana songombingo za siasa katika jamii vile ambavyo watu wanaweza kuw na mtazamo wa pamoja kuleta mabadiliko na hatimaye wakishamwondoa yule wanayeamini hafai basi wenyewe kwa wenyewe wanaanza kubaguana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…