Kitabu changu 'My American Experience' kipo tayari sasa

Kitabu changu 'My American Experience' kipo tayari sasa

umerekebisha lugha uliyokua unaitumia huku jf?nataka nikinunue
 
Hahahahaha nakuja five star hotel tule maisha bongo tambalale u know,hongera sana kwa kitabu chako u know
 
Hongera Sana Mzee baba ingawa spendezwi na baadhi ya itikadi zako lakini unanifurahisha kwenye kuongea ukweli na kuishi maisha yako bila kujali maneno ya wabongo,
All in all asante kwa kutufukuzia dada kigagulaz huku mitandaoni
 
39216055_1024276434421421_2231539843064659968_n.jpg


- "MY AMERICAN EXPERIENCE" kitabu changu kipya ambacho baadhi ya chapters zake zilisomwa sana humu JF, sasa kipo tayari kutakuwa na uzinduzi rasmi mwisho wa mwezi huu, na nitatangaza namna ya kukipata. Karibuni sana ndugu zangu mjipatie copy. ...Call +255 717 618 997 bei haitazidi 15K. ....ni Version ya kwanza kwa KISWAHILI.

le Mutuz Super Brand.
Kitabu cha hovyo kabisa,hovyo sana
 
View attachment 837004Hii picha ilistahili kuwekwa kava

Mimi naahidi kukuunga mkono kwa kununua kitabu kwa bei ya 1,000,000(milioni 1)

- Bila kupitia this kind of process kitabu kisingekuwa na thamani, ilikua ni build up kuelekea KWENYE kuandika kitabu, unajua hii picha aliitengeneza nani?

le Mutuz Super Brand
 
- Sio lazima kuabdilisha bado hakijaharibika kitu ni utashi tu wa lugha sio makosa kuita "Based on a True Story" unahangaika tu vipi umepiga masanga nini maana unatoka mapovu sana!


le Mutuz Super Brand
Najitosheleza mkubwa lemutuz...
Mbona hujaweka bei?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom