Kitabu cha Mch. Mtikila juu ya mauaji ya Chacha Wangwe

Kitabu cha Mch. Mtikila juu ya mauaji ya Chacha Wangwe

Tena cha Nyerere kinaweza kikaweka rekodi ya dunia kwa mauzo ila baada ya hapo sasa,Kutatokea uasi mkubwa ndani ya CCM yenyewe,Kwenye vyombo vya dola na kuongezeka kwa chuki kati ya Wananchi dhidi ya CCM na Serikali yake hususani huko vijijini ambapo Wananchi hawaijui CCM bali wanamjua Nyerere tu kipenzi chao.CCM tusilazimishane kuingia katika siasa za namna hii kwasababu hamtapona kabisa
 
......Tutamuuliza pia hadi sasa ameshakopa sh ngapi kwa mafisadi wa CCM ukiacha zile za Rostam? Poor Mtikila, atambue kuwa Mungu hadhihakiwi!
nyie vjana wa cdm kwel hamna kaz mmekalia propaganda,nyie ndo wale vjana mnao shnda vjiwen kuvuta bang na kunywa vroba,hamtaki kufanya kaz,yani hii nchi ingeruhuru ndoa ya jinsia moja vijana wote wa CHADEMA tungemioa maana ndo kaz mnayo iweza
 
......tutamuuliza pia hadi sasa ameshakopa sh ngapi kwa mafisadi wa ccm ukiacha zile za rostam? Poor mtikila, atambue kuwa mungu hadhihakiwi!

mtikila,ajitangazetu yeye ni katibu wa kitengo cha propaganda cha ccm kamrithi tambwe iza,na heshima yake imesha shuka kwa watanzania aseme tu yeye ni ccm dam dam kuliko kuwachafua chadema kwenye kichaka cha [dp]
 
Mbona mmeshaanza kuhaha mapema? Tulieni mnyolewe.
 
Mbona unahaha tu si utulie mbona unaongelea mambo ya kesho acha kuruka kama umebonyezwa.
Sema tu CCM wakati mwingine huwa inajikaanga bila kujijua. Hivi Deus Malya aliyeshitakiwa kwa mauaji ya Chacha Wangwe ni kwanini alipewa msamaha wa Rais? CDM haihitaji hata kufikiria sana juu ya kucounter attack hicho kitabu cha Mtikila. Ile issue ilipangwa na Ikulu, kwa kutumia kigezo cha kutokuelewana kati ya Wangwe na Mbowe. Na Deus Malya aliyekuwa anafahamika kwa wazi kwamba ni usalama wa Taifa alitumika katika tukio lile.

Pamoja na kushitakiwa na mahakama kwa kosa la kuua bila kukusudia na kutakiwa kutumikia kifungo cha miaka kadhaa, Rais alimpa msamaha ndani ya mwaka mmoja? What was special with him? Ni vigezo vipi ambavyo Rais alivitumia kumpa msamaha Deus kwa haraka vile huku akiwaacha wafungwa wengine wengi ambao wamefungwa kwa makosa ya kusingiziwa? Tuwe wakweli mauaji ya Wangwe yalipangwa na Serikali yenyewe kama sehemu ya kuendeleza mpango wa kuwaaminisha wananchi kwamba CDM ni chama katili.

Lakini kama CCM watamtumia Mtikila kutoa kitabu hicho, sisi pia tutatoa vitabu vyetu kuelezea mauaji ya akina kamanda Kombe, Kolimba, Kigoma Malima na wengineo wengi ambao CCM ilikuwa na mkono wa moja kwa moja.
 
mtikila,ajitangazetu yeye ni katibu wa kitengo cha propaganda cha ccm kamrithi tambwe iza,na heshima yake imesha shuka kwa watanzania aseme tu yeye ni ccm dam dam kuliko kuwachafua chadema kwenye kichaka cha [dp]
Hahaha hahaha hahaha! !
 
hapo ndio naishangaa serikali inawezaje kuruhusu kitabu ambacho kinaelezea jinai halafu hakuna kesi mahakamani?kama chacha wangwe kauawa wakuandikiwa kitabu ni chadema au serikali?mi nafikiri kama ni kitabu kiandikwe cha kifo cha mwl julius kambarage nyerere kani huyu aliondoka hapa nchini akiwa mzima na akienda kuangalia afya na baada ya muda serikali ikaja na longolongo nyingi kuwa ugonjwa huu sitapona na baada ya hapo tukashuhudia nyumba za serikali wakigawana na madudu mengineyo.
 
Ndugu wana jamvi mtakumbuka kuwa katika taarifa aliyotoa Mtikila majuzi juu ya tukio la mlipuko wa bomu Arusha alisema kuwa taarifa aliyowahi kutoa kuwahusisha CDM na mauaji ya Chacha Wangwe inafanyiwa 'finishing' kabla ya kusambazwa nchi nzima kama kitabu...

Ni wazi kwamba Mtikila anatumika tu kama editor wa 'kitabu' hicho huku author(s) wakiwa ni mahasimu wakuu wa CDM ambao wote tunafahamu.

Naomba niwatahadharishe CCM na style hiyo wanayotaka kufanya kwa kueneza uongo kwa njia ya kitabu. Endapo kama wataendelea na mpango huo dhalimu, naamini kuna wanaharakati na wapenda mabadiliko watakao-counter attack kwa kueneza ukweli wa unyama, manyanyaso, na udhalimu wa CCM kupitia polisi uliowahi kutokea nchini tangu ilipoingia awamu ya nne.
Narudia tena, picha zipo na mashahidi wapo, na ukweli unajulikana. Kuanzia mauaji ya tarime, Ngara, Mwangosi, Igunga, Songea, Mtwara, Zanzibar (padre), Arusha (kanisani), Arusha (mkutano wa CDM), bila kusahau picha za kukamatwa, kuteswa kwa viongozi wa CDM, Ulimboka, Kibanda na wengine.
Ni wazi CCM wakitoka na hiyo singo yao ya uongo kuhusu Wangwe, na CDM wakaja na habari za ukweli kuhusu utekaji, utesaji na mauaji ya CCM, vyote vikawekwa katika 'vitabu', na kusambazwa nchi nzima, tunajua ni ipi itauza zaidi...

Nawaonya tena CCM kwa mara ya mwisho katika hili...

hata waandike vitabu mia bado huwezi kuwatoa imani wana chadema.ni wangapi wamekufa.nyerere mbona kina jk anahusika lakini leo ndo rais.wako wapi sokoine na balali.yuko wapi kolimba.basi ccm aandike vitabu kuhusu hawa watu
 
Mkuu na wale wapemba waliouliwa mwaka 2011 gawakuwa watu!!!!?mbona ktk orodha hawapo au udini unakusumbua!!!!

Mm kwetu Chake Chake Pemba na nimeondoka home miezi 6 tu nyuma na wiki hii narudi tena Pemba nyumbani ila mwaka uunaoutaja hakukuwa na mauaji huku sababu kulikuwa na serikali ya umoja wa kitaifa ..
So usiwe na sifa za kichadema bwana wewe umesoma!
 
Kama anaandika kitabu kiwe ushahidi mahakamani angalau ninaweza kufikiria kumuamini ,lakini kama anaandika kitabu ili auze hapo bila kupiga ramli ni kwamba anatafuta hela ya kujikimu maana bongo bila usanii ngumu kuishi.
 
Ikiwa kitabu hicho sio cha kweli kuna haja gani ya kuwa na wasiwasi na hilo? natarajia CDM watachukua hatua za kisheria kwa kuchafuliwa lakini kama wataendelea kukaa kimya na kukanusha kupitia vyombo vya habari bila kwenda mahakamani itakifanya kitabu hicho kuwa na mashiko.
Mbona huyo Mtikila haendi mahakamani kutoa ushaidi au kuishtaki chadema kwa kumuua chacha wangwe badala ya kutengeneza vitabu feki?
 
Mkuu na wale wapemba waliouliwa mwaka 2011 gawakuwa watu!!!!?mbona ktk orodha hawapo au udini unakusumbua!!!!
Duh tena hapo ndio usiseme maana kuna clips za kufa mtu mitaani zenji kuhusiana na hili!
 
Propaganda zingine ni za kijinga sana, kama anawafahamu walio muua Chacha Wangwe kwanini asipeleke ushahidi mahakamani ili wahusika wakamatwe.
 
Mbona huyo Mtikila haendi mahakamani kutoa ushaidi au kuishtaki chadema kwa kumuua chacha wangwe badala ya kutengeneza vitabu feki?

Wenye interest ya kwenda mahakamani ni ndugu wa marehemu ikiwa wanataka haki ya ndugu yao kuuawa lakini ikiwa wana ushahidi. mtikila kama mwanasiasa anatumia karata hiyo ya kifo cha wangwe kukichafua cdm, sasa ikiwa madai hayo ni ya kweli cdm wanaweza kukaa kimya lakini kinyume chake ili kulinda heshima na imani yao kwa wananchi wanapaswa kumchukulia hatua mtikila kwa kuwazushia.
 
Wenye interest ya kwenda mahakamani ni ndugu wa marehemu ikiwa wanataka haki ya ndugu yao kuuawa lakini ikiwa wana ushahidi. mtikila kama mwanasiasa anatumia karata hiyo ya kifo cha wangwe kukichafua cdm, sasa ikiwa madai hayo ni ya kweli cdm wanaweza kukaa kimya lakini kinyume chake ili kulinda heshima na imani yao kwa wananchi wanapaswa Pkumchukulia hatua mtikila kwa kuwazushia.
Kuna methali isemayo lisemwalo lipo Kama halipo linakuja Hivi ktk Nchi hii kuna tatizo gani Mbona tunaishi kwa Tetesi ! Watu wamekariri staili za maisha hii Tabia ya kukariri isipokwisha huenda athali yake ikaleta majanga
 
Tena cha Nyerere kinaweza kikaweka rekodi ya dunia kwa mauzo ila baada ya hapo sasa,Kutatokea uasi mkubwa ndani ya CCM yenyewe,Kwenye vyombo vya dola na kuongezeka kwa chuki kati ya Wananchi dhidi ya CCM na Serikali yake hususani huko vijijini ambapo Wananchi hawaijui CCM bali wanamjua Nyerere tu kipenzi chao.CCM tusilazimishane kuingia katika siasa za namna hii kwasababu hamtapona kabisa

Mkuu yaani hapo itakuwa ni balaa, kumbuka tu kule kwa Nassari Mr ANBEN alibipu tu kidogo Makongoro alivo reply kwa msg mzee mzima chali na lumumba yote ikatikisika! kwa mtaji huo wakae tayari waweza chimba shimo wakatumbukia wneyewe!
 
Kama Mtikila anajua aliyemuua Chacha Wangwe, kwanini serikali isimbane ili awape ushahidi wake! Au inapofikia hapo masikio ya Chagonja yanakuwa yamekufa?

Hapo ndio Serikali inapozidi kupoteza Imani kwa Wananchi na kuonekana ilivyo Dhaifu.Yaani Muuaji anatungiwa Kitabu badala ya kupelekwa Mahakamani!!.
 
Mm kwetu Chake Chake Pemba na nimeondoka home miezi 6 tu nyuma na wiki hii narudi tena Pemba nyumbani ila mwaka uunaoutaja hakukuwa na mauaji huku sababu kulikuwa na serikali ya umoja wa kitaifa ..
So usiwe na sifa za kichadema bwana wewe umesoma!

Mkuu ulimi hauna mfupa na nilikuwa katika boti jwaiyo nimeandika kwa haraka!usahihi ni 27/01/2001
 
Ndugu wana jamvi mtakumbuka kuwa katika taarifa aliyotoa Mtikila majuzi juu ya tukio la mlipuko wa bomu Arusha alisema kuwa taarifa aliyowahi kutoa kuwahusisha CDM na mauaji ya Chacha Wangwe inafanyiwa 'finishing' kabla ya kusambazwa nchi nzima kama kitabu...

Ni wazi kwamba Mtikila anatumika tu kama editor wa 'kitabu' hicho huku author(s) wakiwa ni mahasimu wakuu wa CDM ambao wote tunafahamu.

Naomba niwatahadharishe CCM na style hiyo wanayotaka kufanya kwa kueneza uongo kwa njia ya kitabu. Endapo kama wataendelea na mpango huo dhalimu, naamini kuna wanaharakati na wapenda mabadiliko watakao-counter attack kwa kueneza ukweli wa unyama, manyanyaso, na udhalimu wa CCM kupitia polisi uliowahi kutokea nchini tangu ilipoingia awamu ya nne.
Narudia tena, picha zipo na mashahidi wapo, na ukweli unajulikana. Kuanzia mauaji ya tarime, Ngara, Mwangosi, Igunga, Songea, Mtwara, Zanzibar (padre), Arusha (kanisani), Arusha (mkutano wa CDM), bila kusahau picha za kukamatwa, kuteswa kwa viongozi wa CDM, Ulimboka, Kibanda na wengine.
Ni wazi CCM wakitoka na hiyo singo yao ya uongo kuhusu Wangwe, na CDM wakaja na habari za ukweli kuhusu utekaji, utesaji na mauaji ya CCM, vyote vikawekwa katika 'vitabu', na kusambazwa nchi nzima, tunajua ni ipi itauza zaidi...

Nawaonya tena CCM kwa mara ya mwisho katika hili...

NA CDM naongeza kwenye list yako, CDM tutatoa vitabu yva mauaji ya SOKOINE, KOLIMBA, MWAIKAMBO, GIRMAN RUTUHINDA, NICAS MAHINDA,IMRAM KOMBE, RWEGASIRA WA TRC,STAN KATABALO,
 
Back
Top Bottom