kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,006
- 17,917
Kitabu cha kumfagilia JPM Malawi kimeandikwa kwa mashinikizo ya Polepole na Sukuma-Gang ndo maana akahamishiwa Cuba!!
Wakuu mambo ni mengi muda ni mchache haki hivi huyu Polepole ataacha drama au anadhani yupo awamu ya tano?
Jamani issue iko hivi
Hizo drama zote unazoziona za eti kitabu kuzinduliwa Malawi ni drama za polepole na wote mnajua polepole ni SukumaGang member tena hadi vigogo wa SukumaGang humtumia sana kwa kazi zao zote za nje ya nchi huyu ndo diaspora wao haki vile
Haki watz hii ndiyo ndo kazi ya balozi polepole alienda kufanya hivyo hadi akatenguliwa Malawi na kupelekwa Cuba?
Yaani balozi nzima na akili zako unaenda malawi kushinikiza kiandikwe kitabu ili ionekane Kuwa mwendazake ni shujaa wa Africa nzima?Haki this is nonsense and hilarious omg!!!!
Ndo maana alibadilishwa fastaa akapelekwa Cuba sasa ngoja tuone huko Cuba kama ataenda kulazimishwa tena ajenda ya kumpublish mwendazake ili ionekane kuwa anakubalika hadi Cuba?
Bado wanahangaika hawa SukumaGang kumpa umaarufu huyo mfu ambaye hakua na faida yoyote kwa taifa!!Sijui ilikuaje yule mwehu akawa Rais wa nchi hii?Haki mi kwa Magu hamniambii kitu kama taifa tulipata hasaraa mnoo ni rais aliye-ruin na kuharibu maisha ya watu wengi mnoo!!
Yaani zile kiki za awamu ya 5 polepole ndo anadrive hadi kuandaa mipango kitabu kiandikwe huko malawi kwa mashinikizo ili eti mwendazake aonekane shujaa na alikua anakubalika kumbe ni kiki tu.
Haki this time tumechoka na hizi drama, huyu nae mama anambeleza sana ifike mahali aamue kuwa balozi na afanye kazi au kuwa mueneza legacy ya Magu.Ifike mahali mama amtoe huyu mtu hatufaiii kabisa!!!
PERIOD!!!!
Wakuu mambo ni mengi muda ni mchache haki hivi huyu Polepole ataacha drama au anadhani yupo awamu ya tano?
Jamani issue iko hivi
Hizo drama zote unazoziona za eti kitabu kuzinduliwa Malawi ni drama za polepole na wote mnajua polepole ni SukumaGang member tena hadi vigogo wa SukumaGang humtumia sana kwa kazi zao zote za nje ya nchi huyu ndo diaspora wao haki vile
Haki watz hii ndiyo ndo kazi ya balozi polepole alienda kufanya hivyo hadi akatenguliwa Malawi na kupelekwa Cuba?
Yaani balozi nzima na akili zako unaenda malawi kushinikiza kiandikwe kitabu ili ionekane Kuwa mwendazake ni shujaa wa Africa nzima?Haki this is nonsense and hilarious omg!!!!
Ndo maana alibadilishwa fastaa akapelekwa Cuba sasa ngoja tuone huko Cuba kama ataenda kulazimishwa tena ajenda ya kumpublish mwendazake ili ionekane kuwa anakubalika hadi Cuba?
Bado wanahangaika hawa SukumaGang kumpa umaarufu huyo mfu ambaye hakua na faida yoyote kwa taifa!!Sijui ilikuaje yule mwehu akawa Rais wa nchi hii?Haki mi kwa Magu hamniambii kitu kama taifa tulipata hasaraa mnoo ni rais aliye-ruin na kuharibu maisha ya watu wengi mnoo!!
Yaani zile kiki za awamu ya 5 polepole ndo anadrive hadi kuandaa mipango kitabu kiandikwe huko malawi kwa mashinikizo ili eti mwendazake aonekane shujaa na alikua anakubalika kumbe ni kiki tu.
Haki this time tumechoka na hizi drama, huyu nae mama anambeleza sana ifike mahali aamue kuwa balozi na afanye kazi au kuwa mueneza legacy ya Magu.Ifike mahali mama amtoe huyu mtu hatufaiii kabisa!!!
PERIOD!!!!