Kitabu Cha Abdulwahid Sykes Kimewasili

Kitabu Cha Abdulwahid Sykes Kimewasili

Mzee wangu utakua na stress sana nahisi, tangu umeanza kuandika haya mambo ya kutambulisha hizi jamii zako za kariakoo na masisiemu hata hayaelewi nimeanza kuona miaka mingi sana, nasikitika sana. Nasikia tu mara Mshume, Kiyate, Sykes, takadiri, Tambaza, Azizi, etc na Nyerere alivyowapindua, sijaona tija unayopata, kwa kuwa mama ni ndugu moja kwa nini usimpelekee tu ikulu, coz sisi kenge kama wanavyotuita hata hatusomi tukamaliza au kupata concept tu. au mpe mwaipopo na jeshi lake la chui watafikisha tu hatimaye historia itapindishwa tu na watakukumbuka! Nasikitika hizi stress zitakumaliza kabla ya siku zako, sorry km ipo personal sana ila I feel it na navaa viatu vyako ati!
 
Mzee wangu utakua na stress sana nahisi, tangu umeanza kuandika haya mambo ya kutambulisha hizi jamii zako za kariakoo na masisiemu hata hayaelewi nimeanza kuona miaka mingi sana, nasikitika sana. Nasikia tu mara Mshume, Kiyate, Sykes, takadiri, Tambaza, Azizi, etc na Nyerere alivyowapindua, sijaona tija unayopata, kwa kuwa mama ni ndugu moja kwa nini usimpelekee tu ikulu, coz sisi kenge kama wanavyotuita hata hatusomi tukamaliza au kupata concept tu. au mpe mwaipopo na jeshi lake la chui watafikisha tu hatimaye historia itapindishwa tu na watakukumbuka! Nasikitika hizi stress zitakumaliza kabla ya siku zako, sorry km ipo personal sana ila I feel it na navaa viatu vyako ati!
Ngwathra,
Sijui kwa nini unaniandikia maneno hayo.

Mimi ni mwandishi wa vitabu vya historia.

Sasa sijui Sheikh Mwaipopo na habari za stress na Mama mimi nahusika vipi.

Naona una hasira.

Mwenye joto la moyo ni wewe si mie.

Itapendeza ikiwa utamwandikia Sheikh Mwaipopo.

Hapo chini angalia baadhi ya kazi zangu katika tasnia ya historia:
1783397069301.png

1783397143840.png
 
Hapa jamvini kumekuwa na mjadala mkali kuhusu historia ya uhuru wa Tanganyika.

Watu wengi wamekuwa wakiniuliza kitabu kitapatika lini baada ya kuwa "out of print" kwa muda mrefu.

Nina furaha kuwafahamisha kitabu cha Abdulwahid Sykes kimewasili nchini na kwa sasa kinapatika Ibn Hazm Media Center Msikiti wa Manyema.

Mipango inafanyika In Shaa Allah kukitawanya kwenye maduka yao mengine Msikiti wa Mtoro, Mtambani na Kichangani.

View attachment 3623969
Wasiwasi wangu hicho kitabu kimejaa upotoshaji, kitakuwa na mrengo wa kidini yaani uislam ndiyo maana kinauzwa msikitini. We mzee ungeunganisha watu badala ya kuwatenganisha! Tusome Historia iliyoandikwa kwenye vitabu rasmi siyo hivyo vya uchochoroni
 
Hapa jamvini kumekuwa na mjadala mkali kuhusu historia ya uhuru wa Tanganyika.

Watu wengi wamekuwa wakiniuliza kitabu kitapatika lini baada ya kuwa "out of print" kwa muda mrefu.

Nina furaha kuwafahamisha kitabu cha Abdulwahid Sykes kimewasili nchini na kwa sasa kinapatika Ibn Hazm Media Center Msikiti wa Manyema.

Mipango inafanyika In Shaa Allah kukitawanya kwenye maduka yao mengine Msikiti wa Mtoro, Mtambani na Kichangani.

View attachment 3623969
Nitakitafuta Insha-Allah.

Nione yaliyomo...

Sisi wa mkoani tukilipia tutakipataje ?..
 
Kitabu cha historia ya Tanganyika kinauzwa msikitini...

Una uhakika hicho sio kitabu cha historia ya waislamu wa Tanganyika?

Takua wa mwisho kuamini kwamba kitabu cha historia ya nchi kinauzwa sambamba na hadithi za Muhammad(S.A.W)...

Ndugu zangu waislamu wameathiriwa sana na tamaduni za kiarabu...

Nakumbuka kipindi niko shuleni, kuna vijana wa kiislamu walikua wanalazimisha kila mtu aamini kwamba kiswahili ni kiarabu na sio kibantu...

Wengine wanalalamika kwamba waandishi kama Emmanuel Mbogo wanawachora wahusika wenye majina ya kiislamu kwa sifa mbaya kwenye tamthiliya zao...

Hapo nilijifunza, mwarabu aliacha Inferiority complex kubwa sana kupitia uislamu...

Leo Sehemu yeyote yenye dini kuanzia mbili, uislamu ukiwepo lazima kuwe na shida, tunaonewa tunaonewa tunaonewa...

Nigeria tunaonewa...

India tunaonewa...

China tunaonewa...

Tanzania tunaonewa...

Kenya tunaonewa...

N.k n.k n.k

Ndalichako ametufelisha waislamu

Leo kuna katibu mkuu muislamu, ufaulu ukoje kwa shule zenye waislamu wengi?

Leo Samia anaua, anaiba na kufanya kila aina ya uovu ila kwasababu ni mwislamu hakuna kelele na zikiwepo ni Udini...

Binafsi nikiangalia yote haya nahitimisha kwa kusema Uislamu na Unafiki vinakwenda sambamba...

Nyerere angewachekea kina Takadir leo tungekua kama Nigeria.
 
Wasiwasi wangu hicho kitabu kimejaa upotoshaji, kitakuwa na mrengo wa kidini yaani uislam ndiyo maana kinauzwa msikitini. We mzee ungeunganisha watu badala ya kuwatenganisha! Tusome Historia iliyoandikwa kwenye vitabu rasmi siyo hivyo vya uchochoroni
Preciousvision,
Kitabu hiki si cha uchochoroni.

Kimechapwa na Minerva Press, London mwaka wa 1998 kwa lugha ya Kiingereza.

Wala hakijapata kuuzwa misikitini.

Mtu akinunua kitabu Cathedral Bookshop ndiyo kanunua kitabu kanisani?

Kitabu kimerekebisha historia ya harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika na kimepokelewa vyema na jamii.

Sasa tunakwenda toleo la tano.

Kitabu hiki kipo katika Cambridge Journal of African History.
 
Kitabu cha historia ya Tanganyika kinauzwa msikitini...

Una uhakika hicho sio kitabu cha historia ya waislamu wa Tanganyika?

Takua wa mwisho kuamini kwamba kitabu cha historia ya nchi kinauzwa sambamba na hadithi za Muhammad(S.A.W)...

Ndugu zangu waislamu wameathiriwa sana na tamaduni za kiarabu...

Nakumbuka kipindi niko shuleni, kuna vijana wa kiislamu walikua wanalazimisha kila mtu aamini kwamba kiswahili ni kiarabu na sio kibantu...

Wengine wanalalamika kwamba waandishi kama Emmanuel Mbogo wanawachora wahusika wenye majina ya kiislamu kwa sifa mbaya kwenye tamthiliya zao...

Hapo nilijifunza, mwarabu aliacha Inferiority complex kubwa sana kupitia uislamu...

Leo Sehemu yeyote yenye dini kuanzia mbili, uislamu ukiwepo lazima kuwe na shida, tunaonewa tunaonewa tunaonewa...

Nigeria tunaonewa...

India tunaonewa...

China tunaonewa...

Tanzania tunaonewa...

Kenya tunaonewa...

N.k n.k n.k

Ndalichako ametufelisha waislamu

Leo kuna katibu mkuu muislamu, ufaulu ukoje kwa shule zenye waislamu wengi?

Leo Samia anaua, anaiba na kufanya kila aina ya uovu ila kwasababu ni mwislamu hakuna kelele na zikiwepo ni Udini...

Binafsi nikiangalia yote haya nahitimisha kwa kusema Uislamu na Unafiki vinakwenda sambamba...

Nyerere angewachekea kina Takadir leo tungekua kama Nigeria.
Nyakubonga,
Umeandika mambo mengi ambayo sioni mimi yananihusu vipi katika huu mjadala.

Lakini kitabu kipo kwa sasa miaka 28 na wasomaji wamekipenda sana.

Halikadhalika kwa zaidi ya miaka 10 kimekuwa kikijadiliwa hapa JF.

Kitabu hakiuzwi misikitini.

Fanya uchunguzi wako utabaini ukweli.
 
Nyakubonga,
Umeandika mambo mengi ambayo sioni mimi yananihusu vipi katika huu mjadala.

Lakini kitabu kipo kwa sasa miaka 28 na wasomaji wamekipenda sana.

Halikadhalika kwa zaidi ya miaka 10 kimekuwa kikijadiliwa hapa JF.

Kitabu hakiuzwi misikitini.

Fanya uchunguzi wako utabaini ukweli.
Nimeandika hayo yote kwasababu dhima kuu ya kitabu chako ni "waislamu tunaonewa"

Hicho kitabu kingekuwa na credibility, kingeuzwa kwenye masoko ya wazi...

Kinauzwa misikitini kwasababu kinawahusu zaidi waislamu...

Nilichokiandika kiko sawa kabisa...
 
Nimeandika hayo yote kwasababu dhima kuu ya kitabu chako ni "waislamu tunaonewa"

Hicho kitabu kingekuwa na credibility, kingeuzwa kwenye masoko ya wazi...

Kinauzwa misikitini kwasababu kinawahusu zaidi waislamu...

Nilichokiandika kiko sawa kabisa...
Nyakubonga,
Nimekueleza kuwa hakiuzwi misikitini.
Kipo Mkuki na Nyota Samora Avenue kwa muda mrefu.

Unaweza kwenda kuangalia.
 

Attachments

  • 1783401859946.png
    1783401859946.png
    1.4 MB · Views: 11
Kitabu cha historia ya Tanganyika kinauzwa msikitini...

Una uhakika hicho sio kitabu cha historia ya waislamu wa Tanganyika?

Takua wa mwisho kuamini kwamba kitabu cha historia ya nchi kinauzwa sambamba na hadithi za Muhammad(S.A.W)...

Ndugu zangu waislamu wameathiriwa sana na tamaduni za kiarabu...

Nakumbuka kipindi niko shuleni, kuna vijana wa kiislamu walikua wanalazimisha kila mtu aamini kwamba kiswahili ni kiarabu na sio kibantu...

Wengine wanalalamika kwamba waandishi kama Emmanuel Mbogo wanawachora wahusika wenye majina ya kiislamu kwa sifa mbaya kwenye tamthiliya zao...

Hapo nilijifunza, mwarabu aliacha Inferiority complex kubwa sana kupitia uislamu...

Leo Sehemu yeyote yenye dini kuanzia mbili, uislamu ukiwepo lazima kuwe na shida, tunaonewa tunaonewa tunaonewa...

Nigeria tunaonewa...

India tunaonewa...

China tunaonewa...

Tanzania tunaonewa...

Kenya tunaonewa...

N.k n.k n.k

Ndalichako ametufelisha waislamu

Leo kuna katibu mkuu muislamu, ufaulu ukoje kwa shule zenye waislamu wengi?

Leo Samia anaua, anaiba na kufanya kila aina ya uovu ila kwasababu ni mwislamu hakuna kelele na zikiwepo ni Udini...

Binafsi nikiangalia yote haya nahitimisha kwa kusema Uislamu na Unafiki vinakwenda sambamba...

Nyerere angewachekea kina Takadir leo tungekua kama Nigeria.
Uislam ni UNAFIKI, UDINI, CHUKI, OMBA OMBA, kuabudu MWARABU na NGONO
 
Nimeandika hayo yote kwasababu dhima kuu ya kitabu chako ni "waislamu tunaonewa"

Hicho kitabu kingekuwa na credibility, kingeuzwa kwenye masoko ya wazi...

Kinauzwa misikitini kwasababu kinawahusu zaidi waislamu...

Nilichokiandika kiko sawa kabisa...
Nyakubonga,
Una haki na maoni yako.
 
Nashukuru sana Rais wa Kwanza wa Tanzania alikuwa mkristo la sivyo Hawa waislamu wangetutesa sana. Leo tu Rais muislamu wameleta vikundi vya chui na mbwa mwitu. Very stupid people.
 
Nashukuru sana Rais wa Kwanza wa Tanzania alikuwa mkristo la sivyo Hawa waislamu wangetutesa sana. Leo tu Rais muislamu wameleta vikundi vya chui na mbwa mwitu. Very stupid people.
Economist,
Hayo usemayo hayana uhusiano wowote na kalamu yangu na sijui kwa nini unayaleta kwenye uzi huu.
 
Economist,
Hayo usemayo hayana uhusiano wowote na kalamu yangu na sijui kwa nini unayaleta kwenye uzi huu.
Watu wanakujua mzee wangu...

Watu wanajua kila unachokileta hapa ni kuhusu dini yako na watu wake...

Huna haja ya kuwafundisha mzee...

Halafu kutokujua kwamba uandishi wako unahamasisha Udini, nakua na wasiwasi na busara yako mzee au ndio Unafiki?
 
Watu wanakujua mzee wangu...

Watu wanajua kila unachokileta hapa ni kuhusu dini yako na watu wake...

Huna haja ya kuwafundisha mzee...

Halafu kutokujua kwamba uandishi wako unahamasisha Udini, nakua na wasiwasi na busara yako mzee au ndio Unafiki?
Nyakubonga,
Sijulikani tu na watu mmoja mmoja.
Najulikana na wanahistoria katika vyuo vikuu ndani na nje ya Tanzania.

Hapa nyumbani nimezungumza Sokoine, UDSM, Zanzibar University mara mbili nimezungumza Muslim University of Morogoro mara tatu.

Zanzibar nimezungumza kwa mwaliko wa taasisi ya utafiti mara tatu.

Nimezungumza University of Johannesburg, University of Nairobi, Ibadan...

Tusimame hapa inatosha.
 
Hapa jamvini kumekuwa na mjadala mkali kuhusu historia ya uhuru wa Tanganyika.

Watu wengi wamekuwa wakiniuliza kitabu kitapatika lini baada ya kuwa "out of print" kwa muda mrefu.

Nina furaha kuwafahamisha kitabu cha Abdulwahid Sykes kimewasili nchini na kwa sasa kinapatika Ibn Hazm Media Center Msikiti wa Manyema.

Mipango inafanyika In Shaa Allah kukitawanya kwenye maduka yao mengine Msikiti wa Mtoro, Mtambani na Kichangani.

View attachment 3623969
Who the *** was this guy! Islamist!?
 
Hapa jamvini kumekuwa na mjadala mkali kuhusu historia ya uhuru wa Tanganyika.

Watu wengi wamekuwa wakiniuliza kitabu kitapatika lini baada ya kuwa "out of print" kwa muda mrefu.

Nina furaha kuwafahamisha kitabu cha Abdulwahid Sykes kimewasili nchini na kwa sasa kinapatika Ibn Hazm Media Center Msikiti wa Manyema.

Mipango inafanyika In Shaa Allah kukitawanya kwenye maduka yao mengine Msikiti wa Mtoro, Mtambani na Kichangani.

View attachment 3623969
Mzee,

Wewe wazee wako hawakuwa na Jina la Ukoo.

Maana naona unaitwa Mohamed Said, majina ya Kiarabu.

Jamii yako haikuwahi kuwepo kabla ya ujio wa Mwarabu??

Maana tunajua Wazarami, Wanayakyusa, Wadengereko, Wamatumbi walikuwa na majina yao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom