kiswahili

kiswahili

Hapo anaangalia vipengele anuwai katika upande wa fani. Mfano: muundo, mtindo, matumizi ya lugha; kama methali, nahau, misemo, kuchanganya msimbo/ndimi, tamathali za semi, wahusika na uhusika, vina na mizani, idhini ya kishairi (poetic license) nk.

Vipengele vyote hivi vikiteuliwa kwa ufundi mkubwa hulifanya shairi livutie na kupendeza.
 
Back
Top Bottom