Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 6,981
- 14,752
Kiswahili kinaposafiri kutoka Afrika Mashariki hadi Amerika Kusini. Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili, Andrea Schmidt, alikutana na mtumbwi huu ulioandikwa neno HAKUNA MATATA kwenye pwani ya Chile hivi karibuni. Je, umewahi kuliona wapi neno la Kiswahili likitumika mbali sana na Afrika Mashariki?
C&P Dw...
C&P Dw...