ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Kwenye mjadala wa Sheria ya kuunda katiba mpya, wengi tulishuhudia dhana ya kiswahili kuwa lugha muhimu ktk mawasiliano miongoni mwa watanzania ikitamalaki.
Hata hivyo, imekuwa ni ngumu kwa wanasiasa kukubali kiswahili kutumika kama lugha ya kufundishia mashuleni-primary, sekondari na vyuo vya elimu ya juu.
Mpaka sasa bado siwaelewi wanasiasa, iweje lugha ya kiswahili wakaona ni muhimu sana, kwamba itumike ktk mchakato mzima wa utungaji Katiba ya nchi lakini wanakiona kuwa hakifai kutumika ktk kufundishia mashuleni? Kwa mnaojua sababu hasa ya maana inayowafanya wanasiasa kukikataa kiswahili kutumika kama lugha ya kufundishia nijuzeni, tafadhali!
Nawasubiria!
Hata hivyo, imekuwa ni ngumu kwa wanasiasa kukubali kiswahili kutumika kama lugha ya kufundishia mashuleni-primary, sekondari na vyuo vya elimu ya juu.
Mpaka sasa bado siwaelewi wanasiasa, iweje lugha ya kiswahili wakaona ni muhimu sana, kwamba itumike ktk mchakato mzima wa utungaji Katiba ya nchi lakini wanakiona kuwa hakifai kutumika ktk kufundishia mashuleni? Kwa mnaojua sababu hasa ya maana inayowafanya wanasiasa kukikataa kiswahili kutumika kama lugha ya kufundishia nijuzeni, tafadhali!
Nawasubiria!