Kampikie mumeo Dada .usiingilie mjadala ya wanaumeMungu saidia kabisa asipate dhamana ili aendelee kusota kolokoloni
Katika lugha asili ya magu jamaa anayerekebisha kofia kichwani husemwa "wibung'waga" _yaani linaona aibuuu!
Labda wakipewa world Map wanaweza kutuonesha hio nchi ya Tanganyika.Lisu hawatamueza jamani ni namba nyingine nimesikia baadhi ya mashitaka yake anasema Tanganyika inaikalia zanzibara kijeshi kimsingi hatuna nchi ya Tanganyika kwa sasa mawakili wa mtukufu watapata tabu sana kuitetea hiyo kesi
Maombi ya shetani hajafanikiwaMungu saidia kabisa asipate dhamana ili aendelee kusota kolokoloni
pesa za dhamana sio zao, labda mshitakiwa akikimbia,
Kwani mbunge wa ccm alikamatwa lini akiwa bungeni?Utawala unakuwa tu wa kibabe pale mbunge wa upinzani akikamatwa na kupelekwa mahakamani..?
Unafurahi wabunge wa upinzani wakikamatwa na kuwekwa ndani??Utawala unakuwa tu wa kibabe pale mbunge wa upinzani akikamatwa na kupelekwa mahakamani..?