radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,198
Muombe kibatari akupatie nakala za hati za mashtaka
Hata angekuwa koroboi hatuna vitabia vya kuomba mshazoezwa kuomba omba mnaomba had misikit kujengewa
Muombe kibatari akupatie nakala za hati za mashtaka
Dogo umeenda tena nje ya madaHata angekuwa koroboi hatuna vitabia vya kuomba mshazoezwa kuomba omba mnaomba had misikit kujengewa
Sawa mzee usijali mada ishafungua mlangoDogo umeenda tena nje ya mada
Umeuona huo mlango?Sawa mzee usijali mada ishafungua mlango
Ww ndo umeonaUmeuona huo mlango?
Swali Lissu baada ya kusomewa mashitaka Mahakamani alikiri mashitaka yote,je Kama Lissu alifanya makosa katika yale alioshitakiwa nayo ni kwa nini hakuhukumiwa hapohapo kwa sababu alikiri makosa,Kama wanavyo hukumiwa watuhumiwa wa makosa mengine wanapo kiri mashitaka yao?.[/QUOTE
]
..kwa uelewa wangu amekiri kutamka hayo ambayo upande wa mashtaka umedai alitamka.
..huko siyo kukiri makosa.
..upande wa mashtaka/ccm unatakiwa sasa utumie vifungu vya sheria kuishawishi mahakama kwamba TL alivunja sheria.
..TL naye atapata wasaa wa kujitetea.
..baada ya hapo ndiyo hakimu atatoa uamuzi.
Ni kusema kile ambacho Mtukufu hataki kusikia.Uchochezi ni nini naomba mnisaidie maanake
Jibu alilokupa limekufaa sana.Binadamu unayeabudu binadamu mwenzakoOut of context!
weka taarifa kamiri
Hapana boss. Mimi naheshimu mamlaka halali iliyowekwa na wananchi kwa kura...nyinyi mnaabudu matajiri na mafisadi na wauza unga!Jibu alilokupa limekufaa sana.Binadamu unayeabudu binadamu mwenzako
Unafananaje?Ww ndo umeona
MakondaUnafananaje?