Wanafanya nini hawa?....wameadhibiwa?
Kisutu hakuna udongo mwekundu namana hiyo.
Sio kisutu, sio dar. 1 Udongo mwekundu, 2. wanafunzi wamevaa masweta.
.
Mkuu
BAK
hiyo ni aina ya adhabu ambazo zamani walikuwa wanaita ....
Tega Mota ... duh! hivi haya mambo bado yapo siku
hizi?! ...
Hapa mwalimu alikuwa na wazo zuri tu, unajua vijana wengi IQ zao zimehamia maeneo ya kusini hivyo alitaka akili yote iliyohamia maeneo hayo irudi kichwani. Bila shaka huo sio ule wakati walimu walipokuwa wamegoma. Tehetehetehetehetehete.