Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,984
Kesi namba 458 ya Jamhuri vs Maxence Melo na mwenzake Micke William inayohusu kuendesha mtandao (JamiiForums.com) bila kutumia Kikoa cha .TZ imeendelea leo Mei 03, 2018 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu.
Mara ya mwisho kusikilizwa kesi hii, mnamo Aprili 05, 2018 Hakimu Huruma Shahidi aliyechukua nafasi ya Hakimu Victoria Nongwa alisema leo kesi hii itaendelea palepale ilipoiacha Hakimu Nongwa
Hata hivyo kesi hii imeahirishwa mpaka Mei 10 kutoka na upande wa Jamhuri kumuomba Hakimu kufanya hivyo baada ya kukosa shahidi.
Hakimu Shahidi amesisitiza kuwa siku hiyo ya Mei 10 upande wa Jamhuri uhakikishe una shahidi
Hivyo basi, kesi hii imeahirishwa mpaka Mei 10, 2018
Kujua kesi hii ilipotokea, fuatilia hapa; KISUTU, DAR: Kesi namba 458(Jamhuri v JamiiForums) imeendelea tena leo, Jamhuri yakosa tena shahidi! Kutajwa tena Mei 03
Mara ya mwisho kusikilizwa kesi hii, mnamo Aprili 05, 2018 Hakimu Huruma Shahidi aliyechukua nafasi ya Hakimu Victoria Nongwa alisema leo kesi hii itaendelea palepale ilipoiacha Hakimu Nongwa
Hata hivyo kesi hii imeahirishwa mpaka Mei 10 kutoka na upande wa Jamhuri kumuomba Hakimu kufanya hivyo baada ya kukosa shahidi.
Hakimu Shahidi amesisitiza kuwa siku hiyo ya Mei 10 upande wa Jamhuri uhakikishe una shahidi
Hivyo basi, kesi hii imeahirishwa mpaka Mei 10, 2018
Kujua kesi hii ilipotokea, fuatilia hapa; KISUTU, DAR: Kesi namba 458(Jamhuri v JamiiForums) imeendelea tena leo, Jamhuri yakosa tena shahidi! Kutajwa tena Mei 03