Kisiwa cha lupita kinauzwa

Kisiwa cha lupita kinauzwa

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,742
Reaction score
5,088
Huyu mzungu anaetaka kuuza kisiwa hiki ni mmliki wa kisiwi? Je nani alihusika kuuza hicho kisiwa mali ya watanganyika ?
Kwamba kuna watu wachache wanajimilikisha visiwa na kuviuza kwa wazungu ndugai aliwahi kusema hii nchi utakuja kuuzwa sasa kama wameuza kisiwa na haiko documented mahali popote watashindwa kuuza bandari?
Screenshot_20260830_225951_Maps.jpg
 
Huyu mzungu anaetaka kuuza kisiwa hiki ni mmliki wa kisiwi? Je nani alihusika kuuza hicho kisiwa mali ya watanganyika ?
Kwamba kuna watu wachache wanajimilikisha visiwa na kuviuza kwa wazungu ndugai aliwahi kusema hii nchi utakuja kuuzwa sasa kama wameuza kisiwa na haiko documented mahali popote watashindwa kuuza bandari? View attachment 3660342
Kisiwa chenyewe hata hakijulikani🤣🤣
 
Huyu mzungu anaetaka kuuza kisiwa hiki ni mmliki wa kisiwi? Je nani alihusika kuuza hicho kisiwa mali ya watanganyika ?
Kwamba kuna watu wachache wanajimilikisha visiwa na kuviuza kwa wazungu ndugai aliwahi kusema hii nchi utakuja kuuzwa sasa kama wameuza kisiwa na haiko documented mahali popote watashindwa kuuza bandari? View attachment 3660342
Wewe kichwa boflo unakurupuka tu kama mnyama ndubwi na mimacho imekutoka ila hauoini kitu?
Kinachouzwa ni Hoteli ya kitalii sio kisiwa, nyinyi wabongo ni vilaza tupu
 
Taarifa yake haijasema hotel, amesem wazi ni kisiwa kinachouzwa tena ni non negotiable business
Kisheria mgeni haruhusiwi kumiliki ardhi, ila anaruhusiwa kukodishwa mpaka kwa mpaka miaka 99 (lease hold)
Ila kila atakachokiendeleza ndani ya huo muda, ana uwezo kukiuza kwa yoyote mwenye uwezo wa kununua halafu na mnunuzi anaendelea na mkataba huo huo bila kuanza upya, maana yake kuna malipo au ushuru unatakiwa kulipa lika mwaka kwa serikali, kwa kuwa ardhi ya kisiwa sio mali yako, na ukifanya biashara humo kama masharti ya makodisho kama hoteli ya kitalii, pia unalipia kodi kama kawaida.
Huyo hamiliki bali ana mkataba wa kumiliki, na kama akishindwa kukiuza na anataka kuondoka, anatema bungo.
 
Kisheria mgeni haruhusiwi kumiliki ardhi, ila anaruhusiwa kukodishwa mpaka kwa mpaka miaka 99 (lease hold)
Ila kila atakachokiendeleza ndani ya huo muda, ana uwezo kukiuza kwa yoyote mwenye uwezo wa kununua halafu na mnunuzi anaendelea na mkataba huo huo bila kuanza upya, maana yake kuna malipo au ushuru unatakiwa kulipa lika mwaka kwa serikali, kwa kuwa ardhi ya kisiwa sio mali yako, na ukifanya biashara humo kama masharti ya makodisho kama hoteli ya kitalii, pia unalipia kodi kama kawaida.
Huyo hamiliki na kama akishindwa kukiuza na anataka kuondoka, anatema bungo.
Sheria watu wanavunj kila Leo. Tajiri kasem anauza kisiwa Chake,
 
Sheria watu wanavunj kila Leo. Tajiri kasem anauza kisiwa Chake,
Sisi tunayaishi hayo maisha kama mgeni, japo ni mbongo asilia,
wewe jaribu kusema mgeni pamoja na hela zako tuone kama utaweza kununua ardhi na hati iwe jina lako ili ujenge nyumba ya kuishi, ilibidi nimilikishe dada yangu ardhi niliyonunua,
Huyo kusema anauza kisiwa chake, ni shobo zao matajiri wa kizungu, sasa wewe nenda kanunue kama mgeni uone ukiritimba wake serikalini,
Itoshe kusema ameamua kutema bungo kwa usumbufu usioisha kwa njaa za vibopa wa serikali waliomuuingiza chaka wanaotaka hela kila siku
 
Kisheria mgeni haruhusiwi kumiliki ardhi, ila anaruhusiwa kukodishwa mpaka kwa mpaka miaka 99 (lease hold)
Ila kila atakachokiendeleza ndani ya huo muda, ana uwezo kukiuza kwa yoyote mwenye uwezo wa kununua halafu na mnunuzi anaendelea na mkataba huo huo bila kuanza upya, maana yake kuna malipo au ushuru unatakiwa kulipa lika mwaka kwa serikali, kwa kuwa ardhi ya kisiwa sio mali yako, na ukifanya biashara humo kama masharti ya makodisho kama hoteli ya kitalii, pia unalipia kodi kama kawaida.
Huyo hamiliki bali ana mkataba wa kumiliki, na kama akishindwa kukiuza na anataka kuondoka, anatema bungo.
Kisiwa ni chake walimuuzia maCCM kwamba mzungu akurupuke tu eti anauza kitu sio chake acha ujuaji kichwani umejaa mavi tu
 
Kisiwa ni chake walimuuzia maCCM kwamba mzungu akurupuke tu eti anauza kitu sio chake acha ujuaji kichwani umejaa mavi tu
Wewe bado mporipori ukijifunza utaelewa, usione aibu kukurupuka na kuandika upupu, ndio kujifunza huko mlugaluga
 
Kisheria mgeni haruhusiwi kumiliki ardhi, ila anaruhusiwa kukodishwa mpaka kwa mpaka miaka 99 (lease hold)
Ila kila atakachokiendeleza ndani ya huo muda, ana uwezo kukiuza kwa yoyote mwenye uwezo wa kununua halafu na mnunuzi anaendelea na mkataba huo huo bila kuanza upya, maana yake kuna malipo au ushuru unatakiwa kulipa lika mwaka kwa serikali, kwa kuwa ardhi ya kisiwa sio mali yako, na ukifanya biashara humo kama masharti ya makodisho kama hoteli ya kitalii, pia unalipia kodi kama kawaida.
Huyo hamiliki bali ana mkataba wa kumiliki, na kama akishindwa kukiuza na anataka kuondoka, anatema bungo.
Sheria na katiba zinavunjwa sana. Mbona abdul ana uraia wa UAE, spika ana uraia wa ubelgiji na makamu wa rais ana uraia wa uingereza?
 
Kuna mwaka nilifika hapo Kwa mambo ya kikazi, hicho kisiwa kimejitenga na kipo mbali kweli na makazi ya watu .
Hiyo hoteli ni nzuri sana na ni mahali pazuri Kwa kupumzika Kwa watu wenye pesa zao..
 
Back
Top Bottom